Yawezekana kati yenu kuna aliyetumia manukato ambayo hayakuwapendaza au pengne wana aleji nayo ivyo wakaziba pua wasidhurike. Tatizo hapo limekuwa n mtazamo wako juu yao
Mimi nko Maputo nchini Mozambique. Nakumbuka wakat nafika huku nliweza kuwasiliana name ndugu zangu walioko tz bla shida. Ila baada ya mda mlitufungia huduma name kutuwekea masharti magumu kwamba anayenpgia lazma awe na vocha name mm pia niwe nayo alafu gharama tunatozwa wrote. Embu turudishien...
Yan mtanznia kuliwa inaonekana kama ni jambo ambalo halikwepeki maana wenye dhamana ya kututoa kwenye hali hii wamekaa kimya. Ila ipo siku tutachomoka wenyewe kwa njia yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.