Recent content by dr mose

  1. D

    HESLB,

    thank u all, solved
  2. D

    HESLB,

    Hakuna pupa ni swala la kupeana insight
  3. D

    HESLB,

    mkuu hiyo sio shida wala, size na dimensions ziko poa, mbona picha ya mwombaji nimerekebisha na imekubali but najaribu different pics za mdhamini na bado inakataa. Namba HESLB nilipiga muda wa kazi haikupatikana
  4. D

    HESLB,

    Habari wana Jamvi! Nimepata Changamoto katika ku upload picha ya mdhamini mtandaoni. Kila nikijaribu inakataa na picha ina vigezo vyote. Au ni print fomu hivyo hivyo niibandike kawaida? Ahsante!
  5. D

    FORM 6 LEAVERS, PITA HAPA UJIFUNZE KUHUSU KU-APPLY CHUO KULIKO KUSUMBUA SUMBUA WATU.

    Kuna mtu yeyote amefanikiwa kutuma maombi UDSM; Kwa form six aliemaliza mwaka huu?
  6. D

    2019 TCU guide book

    TCU Guide book imechelewa sana, au ile almanac yenye kuonyesha min requirements ndio hiyo hiyo tu? Mwenye majibu tafadhal
  7. D

    third round

    Third round lini?
  8. D

    Turudi Kwenye Central Admission System (CAS) ya TCU

    Mfumo wa sasa unasababisha nafasi finyu ya kuchaguliwa, kwa sababu mtu mmoja anaziba nafasi nyingine zaidi ambazo kwa mfumo wa CAS zingekuwa empty
  9. D

    Maoni:Kwa vyuo ulivyoapply, ni chuo gani mfumo wake upo vizuri, chuo gani kirekebishe mfumo wake wa usajili, toa changamoto kwenye mifumo ya usajili?

    pia mfumo wa udahili wa miaka hii miwili ama mitatu kama sijakosea umeonesha usumbufu mkubwa tofauti na ilivyokuwa kwa mfumo uliotangulia wa tcu online application system (OLAS),mambo yalikuwa more systematic na haraka zaidi
  10. D

    JIFUNZEE FOREX...UPIGE PESAA...

    For different strategies and indicators, dope, visit forexstation.com Demo your strategy first
  11. D

    Ni lini matokeo ya udahiLi yatatoka, lakini pia ni lini muda wa masomo utaanza?

    applications mpya udom na sua watafungua lini. Someone was late for the first round. Thanks
  12. D

    Binary Options Trading

    Trend is your friend
Back
Top Bottom