mkuu hiyo sio shida wala, size na dimensions ziko poa, mbona picha ya mwombaji nimerekebisha na imekubali but najaribu different pics za mdhamini na bado inakataa. Namba HESLB nilipiga muda wa kazi haikupatikana
Habari wana Jamvi!
Nimepata Changamoto katika ku upload picha ya mdhamini mtandaoni. Kila nikijaribu inakataa na picha ina vigezo vyote.
Au ni print fomu hivyo hivyo niibandike kawaida?
Ahsante!
pia mfumo wa udahili wa miaka hii miwili ama mitatu kama sijakosea umeonesha usumbufu mkubwa tofauti na ilivyokuwa kwa mfumo uliotangulia wa tcu online application system (OLAS),mambo yalikuwa more systematic na haraka zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.