Ushauri wa bure kwa wanaoanza hii ishu ya forex ni afadhali utafute mentor akufundishe kuliko kukomaa mwenyewe utatumia muda mrefu sana hadi kuja kuwa profitabe...ukikomaa mwenyewe itabid ujaribu strategy mbalimbali hadi uje upate strategy sahihi lakin ukipata mentor mzuri atakufundisha strategy yake ambayo ni profitable kwa muda mfupi...
Unachotakiwa kwa wewe ambae ni new trader ni kujisomea basic forex stuff ukishaelewa tafuta mentor akufundishe strategy
Msije fanya makosa kama niliyofanya mimi nimeifahamu forex kipindi kile ONTARIO ndio kaweka uzi wake nikajifanya kiburi kukomaa mwenyewe hali iloyonifanya nichome accounts nyingi tu.... Mwezi huu ndio nimepata strategy ambayo naona ni nzuri kwangu na itanipa mafanikio
Sasa jiulize nimejaribu strategies ngapi hadi kuipata hiyo moja ambayo ni salama kwangu?? Jibu ni strategies zaid ya 15 na indicators karibu zote