Recent content by Dr masamaki

  1. D

    Vita ya Urais sasa ni Wassira na Lowassa

    "Maamuzi na uzalendo ndio nguzo" Lowassa ndie tumaini
  2. D

    Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

    Angalia kiwango cha uzalendo kati ya watanzania na wakenya ndipo utakapo gundua kuwa UKAWA hawana nia yoyote njema kwa watanzania zaidi ya kujinufaisha wao binafsi kupata madaraka kwa kutumia "divide and rule method" na hiyo ndo siri hasa ya kutaka serikali tatu hivyo usilinganishe kilicho tokea...
  3. D

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Broo huwa naagiza mikoba ya kina mama na kwa bei ya jumla naiuza 36000 sasa kwa laki tano unaweza pata mikoba 13 na kwa mikoa ya mwanza na dar unaweza kufanya online business kwa kupost pics kwenye social network na mahali pengine kwa marafiki na ndugu kwa 44000 na kupata faida tu brother
  4. D

    Taratibu za kuanzisha biashara ya beer depot

    Asante sana kaka kwa mawazo yako huenda nikawa nimepata mahali pakuanzia lakini kwenye hilo swala la gari kwa mtaji nilionao kidogo ni ngumu lakini yale magali ya makampuni huwa hayatoi huduma hiyo?
  5. D

    Mnyika: Tayari CCM wameondoa uadilifu, uwazi na ukweli kama TUNU za Taifa katika Katiba mpya

    Tupo. Kama mwana harakati na kiongozi mwenye kutaka uwazi, uadilifu na uwajibikaji mnyika angepaswa kuwa mfano kabla ya kuwa nyooshea wenzake vidole sisi wananchi wa jimbo lake tuna umia na miradi hewa ya maji na barabara ilihali yeye mwenyewe alitoa ahadi sasa tutasema huyu mtu anania njema na...
  6. D

    Kikao cha CCM, UKAWA chavunjika

    Naona ndugu humjui vizuri huyo unae mzungumzia.
  7. D

    Taratibu za kuanzisha biashara ya beer depot

    Wana jf Mimi nahitaji kujua zaidi taratibu za kufungua depot ya beer hasa zinazo tengenezwa hapa nchini
Back
Top Bottom