Salaam wana JF
Nimewaza pengine heading hapo juu itakielezea hiki nilichonacho kichwani,maisha ni magumu kiasi kwamba hakili pia inafubaa,hata uwezo wa kufikilia unapungua.CHAMA CHA MAPINDUZI NI WATU ambao pia ni watanzania wenzetu kiuraia ila wazungu kimaisha ,tena kwa fedha zetu watanzania...
Pinda ametoweka kabisa kwenye siasa za nchi,na wasiwasi na utendaji wake pia ,nadhani amebanwa na mwajiri wake kuhusu mdomo wake......kaja tena na ukawa warudi bungeni,tena kwa mbwembwe za kuzunguka nchi zima endepo hawatarudi...Amwone kapt komba pia wapite msituni kwanza pengine itasaidia.:A S...
Kwa kweli binafsi sijapenda taarifa ya habar ya leo,full ccm tu,wamewatafuta wananchi wachovu zanzibar wawaponde UKAWA ,napata shda ni lini watanzania wataamka,mfano chadema,cuf na hata vyama vingne vikichoka kuleta ukombozi.nan atasimama kwa ajar ya wanyonge.
Nataman kujua mnaishi maisha gan ninyi mnaoipenda ccm,je mmepanga au mmejenga.wap nyumba ya kwako au kuna fedha za kupewa kutoka kwenye kodi za wananchi?.mna uhuru wd maamuzi au kila k2 kwenu ni ndio mkuu!.familia Zenu zikoje(mama&baba),wanahudumiwa na nani?..vp elimu zenu pia,hata ikibdi nijue...
Nilitegemea atashukuriwa kwa kutoa angalizo kwa mnao penda wa dada wa chuo.any way ukimwi sio tatzo tena nowsday ..lakini mleta maada ameandika point sana na hata sio umbea .reality
Daah,,maranyingine huwa nataman kutofuatilia chochote abt ths country..Watu wanacheka,wanakula na kunywa,wanatuona kama kartoon..we always read,say and sing bt ever thnk about ACTION ....kwa hyo daaah...TUNAAMKA,TUNALALA tarehe zinabadilika pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.