Recent content by Dr. Mabuga

  1. D

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Mwandishi, Salma Said wa DW Swahili akamatwa...

    Kwa hiyo akikiuka sheria za nchi asikamatwe? Hata kama ukiwa Ujermani ukikiuka taratibu za nchi lazima ushughulikiwe,,,,,,Cha kuhoji je Taaratibu zimefuatwa??
  2. D

    JamiiForums Tanzania Muuza madawa maarufu, Halili akamatwa akipokea 'mzigo'

    Kumbe Chadema ndo mnataka wauza Unga .,Ama kweli Dr Slaa ameondoka na Chadema du,,,,,,
  3. D

    JamiiForums Tanzania Mwantumu Mahiza alistahili kuteuliwa Mkuu wa Mkoa

    Mwantum Mahiza Anastahili kuteuliwa ila kati hao walioteuliwa ni nani hakustahili,,,,,,,Nafasi zilikuwa 26 kwenye mikoa 26 ,,,,,Nadhani ameshika nafasi ya 27,,,,,,Asubir ukuu wa wilaya,,,,,Kisarawe ,Handeni au Chalinze
  4. D

    JamiiForums Tanzania Raia wa China wahukumiwa miaka 30 jela ama faini ya shilingi bilioni 108.7

    Magufuri fumua huo mtandao wa majangir najua unawajua ,,,jitahd uufumue Mh President
  5. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Rais Magufuli kuhusu vijembe/mipasho

    Nchi imepata rais maana watu wengi hawataki kufanya kazi,, inatakiwa aipeleke kibabe kwa muda wa mwaka mmoja ,hapo ndipo itakapokuwa imenyoka ,,tatizo la letu tukiambiwa kufanya kazi ,,,tunasema huyu jamaa ni dictator acha atunyoshe ,,,,Muda huu sio wa siasa ni muda wa kufanya KAZI,_,,,,,Kwa...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Kiongozi ni cheo kilicho juu ya fikra za udini

    Huyo ni mihemko ya kudini mbona sijawahi kumwona makamu was rais Mkristo? Masuala ya udin hayana nafas kilichopo Ni uchapa kazi
  7. D

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kufungua Steshenari.

    Nami nimeipenda
  8. D

    JamiiForums Tanzania Naona Magufuli anaenda kinyume na ahadi zake mwenyewe

    Mkuu contract ya Magufuri ni miaka mitano , sasa HV ana miezi tajribani mitatu lakin wewe unataka ahadi zutimie kwa muda mfupi tu .,muache mzee akusanye kwanza pesa,
  9. D

    JamiiForums Tanzania Zitto: Rais Magufuli ameshaipotezea nchi mapato ya bilioni 8 tangu aingie madarakani

    Mungu mjalie Huyu jamaa afanye KAZI kwa kujituma ,kwani nchi inaelekea pazuri, yaaani Mh Dr Rais Magufuri ,pamoja na kwamba mapungufu yapo, ila atafanya kazi nzuri zaidi Mara kumi ya waliokuwa wapinzani wake, Nawaomba wapinzani anapofanya vibaya mkosoeni na anapofanya vizuri msifieni,ila jueni...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya Reginald Mengi kukumbwa na bomoa bomoa

    Acha uchonganishi, kama haistahili kuwa hapo lazima ibomolewe , kwani ni akina nano wanahaki ya kubomolewa nyumba, sheria ifuate mkondo wake bila kujali mapapa, Mbona koko beach, Manji amenyang'anywa, kwani yeye sio papa?
  11. D

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya Reginald Mengi kukumbwa na bomoa bomoa

    Nzuri hiyo
  12. D

    JamiiForums Tanzania Kwa hali hii Kikwete ana haki kabisa ya kukataa kuishi Msoga

    Hitifaki lazima izingatiwe, kwani mkapa na mwinyi hawakuwahi kuwa marais?mi naona anatendewa haki tu maana hakuna namna
Back
Top Bottom