Ukweli nikwamba wajanja wamepiga pesa Hazina kwahiyo serikali haina hela hivyo inambidi JPM kung'ang'ana na TRA na TPA ilikupata hela za kutekeza ahadi zake kutokana na Mambo kuwa magum tumeona JPM akiruka bahadhi ya ahadi zake kama Kutoa million 50 kwa kila kijiji na Laptop kwa kila mwalimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.