Recent content by Dr Kingu

  1. D

    JamiiForums Tanzania Picha ya leo, ipe maneno

    safari mpya ya matumaini yaanza upya
  2. D

    JamiiForums Tanzania Biashara gani inaweza kuingiza faida ya Milioni 2 kwa mwezi?

    madawa ya kulevya, pembe za ndovu, madini, mbao, kuiba benk, viungo vya albino, kuanzisha kanisa la wokovu we mchungaji mkeo mhasibu nk nyingi mno
  3. D

    JamiiForums Tanzania hii sasa imezidi

    gari maalum la wagonjwa wa kipindupindu a.k.a cholera
  4. D

    JamiiForums Tanzania geor davy anahojiwa chanel 10

    ukitaka maisha bora tz anza kuhubiri au kuimba gospel, ndo ajira kuu iliyobaki.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Sherehe za mkesha Mwenge wa Uhuru ni sawa na vigodoro

    kodi za watanzania maskini zinatumiwa vibaya kusambaza maradhi ikiwa ni pamoja na virusi vya ukimwi. Huku ni kuendelea kuua watanzania maskini ukizingatia na huduma ya afya ilivyo mbaya, viongozi wetu ni mburura wanaojali matumbo yao na siyo maisha bora kwa waliowaweka madarakani. Huku songea...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Huyu Shabiki wa team gani??

    manchester united a.k.a red devels
  7. D

    JamiiForums Tanzania Anti Shebi: "Ushoga umenisaidia kujenga nyumba Mshangano".

    haya ni yake huyu mzinzi, mimi wazazi wangu kilimo kimewasaidia kujenga na kunisomesha mimi na ndugu zangu. Yeye kama kageuza ushoga ni kitega uchumi basi aendelee
  8. D

    JamiiForums Tanzania Ukiweza soma kimyakimya

    kijapani mkuu
  9. D

    JamiiForums Tanzania Wezi wawili wakiungua moto mbagala kwa Mangaya - Tutaendelea kujichukulia sheria mkononi hadi lini

    ukiwapeleka polisi wanatoa rushwaa nakuachiwa, polisi wanafanya uchunguzi majibu ushahidi haujitoshelezi mwizi anaachiwa na uliyempeleka utamkoma, mwisho watu wanaamua kamalizana naye
  10. D

    JamiiForums Tanzania Dawa za kupunguza makali ya VVU (ARVs) sasa ziuzwe madukani badala ya kutolewa bure

    wunapozungumzia masuala ya ukimwi usiwafikirie wazinzi tu. Kuna wale bibi zetu walioambukizwa wakati wanauguza, watoto waliopata toka kwa wazazi wao, waliobakwa na waliopata maambukizi wakati wa tiba kama kuongezewa damu, hao nao wamejitakia? Hizo dawa ni za maisha yote, ungekuwa wewe ungeweza...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Hivi hii gari huwa trafic na sumatra hawaioni???

    ndo magari yetu huko ruvuma, hilo mbona bado jipya. Kuna daladala hapa songea mjini zimechongewa viti vya mbao a.k.a vigoda. Pia gari kuzimika katikati ya barabara ni kawaida, likiwa linapanda mlima unajiandaa kabisa kwa kuruka maana brake ni shida likianza kurudi kinyume kazi kwako abiria. Hilo...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Mwigulu atema povu bungeni

    mwenyewe hana adabu, kama anaona anaweza kufundisha wenzake adabu nadhani huko kwao ni uozo mtupu, yaani maadili zero
  13. D

    JamiiForums Tanzania Mume wa muimbaji wa nyimbo za injili anaetuhumiwa kumbaka shemeji yake huyu hapa

    mzinzi hata akiwa na wake wengi hawezi kuacha tamaa. Kwani shehe aliyebaka mtoto mwezi huu na kahukumiwa jela alikatazwa kuongeza mke?
  14. D

    JamiiForums Tanzania ‘Makahaba’ wavamia Dodoma

    waache nao waambulie kidogo wakati huu wa bunge la katiba. Wana chukua chao mapema
  15. D

    JamiiForums Tanzania nitamwambia nini mke wangu hili shati?

    wakati napanda daladala kuelekea mbagala kuna dada kagusa shati langu.
Back
Top Bottom