Tutumie uwezo wetu wa akili tuliokuwa nao kwa vizuri zaid kisha tujiulize, kwann matatizo yasiyo onekana kama mashetani huwa tunaomba msaada kwa mwnyzmungu ambaye haonekani, na matatizo huondoka?
Basi ni hiviiii....kama kisichoonekana kinaweza kuzuiwa na kisichoonekana basi ni wazi kuwa vyote...
niwaambie kitu wanna jf wnzangu ili ufanikiwe katka mambo yako cha kwanza ni kujituma kngne ni kujifunza kutokana na historia yaani kujua ni wapi ulipowahi kukosea usikosee tena ili kufanikiwa vizuri lakn kwa mapenzi hivi vyote nlivotaja havisaidii tuyaache mapenzi kama yalivyo msisahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.