Recent content by Dr Frankenstein

  1. D

    Mwanadamu na matumizi ya uwezo wake!!!!

    Tutumie uwezo wetu wa akili tuliokuwa nao kwa vizuri zaid kisha tujiulize, kwann matatizo yasiyo onekana kama mashetani huwa tunaomba msaada kwa mwnyzmungu ambaye haonekani, na matatizo huondoka? Basi ni hiviiii....kama kisichoonekana kinaweza kuzuiwa na kisichoonekana basi ni wazi kuwa vyote...
  2. D

    Uthibitisho: Wazungu wana akili zaidi kuliko Makabila mengine Duniani. Sisi wa Mwisho.

    Hivi manabii wa ukristo na uislamu wangetokea Africa, wazungu na waarabu wangeamin?
  3. D

    Alidai hahitaji msaada, atalea mtoto mwenyewe, sasa karudi kwa magoti

    hebu angalieni na vitu vingine vya kusamehe nyie kama kaambukizwa na ukimwi je ukimsamehe yeye ukimwi pia utakusamehe
  4. D

    Niwaulize watu wa Arusha, mnataka mageuzi gani?

    Kijiji hakikosi chizi ndo maana hakuna kulipokosa mbunge was ccm
  5. D

    Niwaulize watu wa Arusha, mnataka mageuzi gani?

    ni kwamba kijiji hakikosi chizi ndo maana hakuna mkoa usiokosa ccm
  6. D

    Naibu Spika zingatia haya ili udumu bunge la 11

    aisee taarabu unaiweza sana
  7. D

    Majina ya watoto

    Mimi kwa kweli hii kitu inaniudhi sana haya huyo anaedai jina lake lipewe kipaumbele mlevi ,mwizi mtoto akichukua jina ni pamoja na tabia
  8. D

    Pale unapokuta mkeo katuma picha zake za uchi kwa mwanaume mwingine

    tuusiishe akili zetu wakati mwngne wakubwa wa nn je wakikushauri utumie busara kwamba msamehe je kama kapata ukimwi pia utawasamehe
  9. D

    Je, ni kawaida?

    niwaambie kitu wanna jf wnzangu ili ufanikiwe katka mambo yako cha kwanza ni kujituma kngne ni kujifunza kutokana na historia yaani kujua ni wapi ulipowahi kukosea usikosee tena ili kufanikiwa vizuri lakn kwa mapenzi hivi vyote nlivotaja havisaidii tuyaache mapenzi kama yalivyo msisahau...
  10. D

    Jamaa amshtaki jirani kwa kushindwa kumpa mkewe mimba

    mmh mjerumani na shilingi wapi na wap
  11. D

    Wanaume wewe ndo umetongozwa na mwanamke, nini mtazamo wenu katika hili?

    yaani we manga unanchukulia demu wangu na we atoto unansaliti kumbe upuuzi mnaufanyia humu jf
  12. D

    Udiplomasia na udemokrasia unaharibu ndoa nyingi

    correct saikolojia ya mwanamke ni MTU anayetaka kuongozwa unapokua chn yake hukudharau mwishowe kukuchukia usikubali mwanamke atumie udhaifu wako
Back
Top Bottom