NILIWAHIBKUSEMA VIJANA WA UPINZANI WENGI NI MBOGA SABA WAMEVIMBIWA MAPIZZA NA MABUGGER 🤣😂🤣😂🤣😂😂😂😂😂 HALAFU WANAKAA. KWENYE KIBORD WANADAI DEMOCRACY HAHAH HAYA SASA SEIF RAIS HUKO MDEEE MBUNGE HUKO SWALII ......HIYO ICC INANAHUKUMU NANI NA NINI
ASANTE SANA CCM TUPIGE KAZI UPINZANI UPO ASILIMIA 2%...
Sio Lazima mtubakifa na Corona awe kaipata Tanzania ivi Vijana mnaakili za kufikilia kweli yaani huwa mnaniiuziii kiss manachukia CCM msipungukiwe akili kiasi hiki na kuona kila asemalo mzungu ni sahihi nyambafu
KAMA UNAONGEA NA CHADEMA UNAPOTEZA MUDA WAKO MKUU HAWA NI MAZOMBIE YALIYOSHINDIKANA NA WATU HAWAPENDI AMBIWA UKWELI WALIAMBI LISSU ATAPATA ASILIMIA 12 WAKABISAHA NGOMA IMEPIGWA WANADAI KAIBIWAA HAWA NI HOPELESS HUMANS
KWANI EU NDIO WAMEPIGA KURA WATANZANIA WASINGEUTAMBUA UCHAGUZI NDIIO INGEKUWA SHIDA
WATANZANIA RAIS WETU TUNAMCHAGUA WENYEWE HATUCHAGULIWI NA EU, KWA HIYO WATAMBUE WASITAMBUE MATAKEO SISI HAITUHUSU...SISI NI NCHI HURU YENYE MAAMUZI YAKE...TUNAJUA CHADEMA AKILI ZENU...
Safari Ya CHADEMA Kama mtumbwi unaoanza Kutoboka Matundu na IPO katikati ya Bahari.
Mdee na mwenzio. wameona Kabisa Maji Yanaingia Ndani Mtumbwi na Hakuna Msaada wala vifaa vya kuziba hayo matundu (ruzuku) Kwa mbali wanaona kuna Mtumbwi unakuja.
Wanajadiliana na wenzao Kuwa ule Mtumbwi...
CHADEMA SASA HAYA NDIO MAMBO YA KUANDAMANA 😂🤣😂🤣 ILA BADO MKO MTANDAOONI HATA HAMJAJITOKEZA KUIONYESHA DUNIA MNAPINGANA NA HAO WADADA🤣😂🤣😂 MPO TU MATYPE TYEPE😂🤣🤣
NDIO MAANA NIKISEMA CHADEMA NI MAZUMBUKUKU MSIKATAE SASA MNALIALIA MTANDAONI ILI IWAJE WENGINE MNAZILA KABIZA MNATAKA NA KUCHOMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.