fokonola bokoyoka
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 965
- 640
CHADEMA ipo haitapotezwa, ni chama chenye wafuasi wengi TZ, hao Covid 19 waende huko.
Hata zito kabwe na ACT yake mlisema ni ccm b ili kuua cdm leo hii stori imeishia wapiKwa kadiri ninavyoliona sakata la akina Mdee naanza kuelewa kuwa lengo kuu ni kuua Upinzani
Baada ya uchaguzi inaonekana bado katika mioyo ya watu bado
Kuna Upinzani tatizo ni aina ya watu wazito waoga na wagumu kufanya maamuzi hatarishi
Wenye Nia ya kuua Upinzani wanahisi bado malengo hayajafanikiwa
MPANGO kwa Sasa ni kuanzisha Chama cha siasa ambacho kitaungwa mkono na watu wenye mlengo wa kipinzani
Akina Halima wanataka kutumika kukigawa chama kilichopo au kukiua kabisa
Kwa mantiki hii mgogoro unaoendelea kwa Sasa umepangwa na kuratibiwa vizuri ili kutimiza malengo hayo
Ni vema viongozi wa vyama vya Upinzani kujitahidi kusoma alama za nyakati na kukabiliana na watawala hata kieleweke.
Naomba kuwasilisha
Mbona zitto kabwe alipata wafuasi? Au yeye hamkumfukuza kama msaliti,tena bila kikao chochote..?Wala usipoteze muda kuwaza hayo, waanzishe hata sasa, lakini hakuna mtu mwenye akili timamu atawaunga mkono wasaliti.
Mdee na genge lake ndio basi tena, hawana tena mvuto, hawana agenda na wala hawana Platform. Wamejinyonga kisiasa.
Naungana na ww hapa Kuna mapango kazi unaandaliwa.Kwa kadiri ninavyoliona sakata la akina Mdee naanza kuelewa kuwa lengo kuu ni kuua Upinzani
Baada ya uchaguzi inaonekana bado katika mioyo ya watu bado
Kuna Upinzani tatizo ni aina ya watu wazito waoga na wagumu kufanya maamuzi hatarishi
Wenye Nia ya kuua Upinzani wanahisi bado malengo hayajafanikiwa
MPANGO kwa Sasa ni kuanzisha Chama cha siasa ambacho kitaungwa mkono na watu wenye mlengo wa kipinzani
Akina Halima wanataka kutumika kukigawa chama kilichopo au kukiua kabisa
Kwa mantiki hii mgogoro unaoendelea kwa Sasa umepangwa na kuratibiwa vizuri ili kutimiza malengo hayo
Ni vema viongozi wa vyama vya Upinzani kujitahidi kusoma alama za nyakati na kukabiliana na watawala hata kieleweke.
Naomba kuwasilisha
Bila Maalim Seif unafikiri leo angekuwa wapi? mlimdanganya hivi hivi kama mnavyo wadanganya akina Mdee na wenzake, matokeo yake akabakia peke yake yaani hata wale wasaliti wenzake walimkimbia. Ashukuru mgogoro wa CUF vinginevyo angekuwa na hali mbaya zaidi ya akina Lipumba au Mrema na Mbatia.Mbona zitto kabwe alipata wafuasi? Au yeye hamkumfukuza kama msaliti,tena bila kikao chochote..?
Nakuhakikishia ndani ya Chadema hakuna mgogoro, mgogoro uko kwa wnachama na wapenzi mihemuko,wa bendera fuata upepo. Wasiojua mchezo unaochezwa na viongozi dhidi yao. Viongozi waliowajaza upepo wanachama, kuwaaminisha misimamo ambayo haiekelezeki na sasa wanatafuta mbinu za kuwashusha hasira ili kupata mwanya wa kula matapishi yao. Kutafuta uungwaji mkono, ili "Kujikwamua ktk ukata" kwa kuungana na Serikali bungeni.Kwa kadiri ninavyoliona sakata la akina Mdee naanza kuelewa kuwa lengo kuu ni kuua Upinzani
Baada ya uchaguzi inaonekana bado katika mioyo ya watu bado
Kuna Upinzani tatizo ni aina ya watu wazito waoga na wagumu kufanya maamuzi hatarishi
Wenye Nia ya kuua Upinzani wanahisi bado malengo hayajafanikiwa
MPANGO kwa Sasa ni kuanzisha Chama cha siasa ambacho kitaungwa mkono na watu wenye mlengo wa kipinzani
Akina Halima wanataka kutumika kukigawa chama kilichopo au kukiua kabisa
Kwa mantiki hii mgogoro unaoendelea kwa Sasa umepangwa na kuratibiwa vizuri ili kutimiza malengo hayo
Ni vema viongozi wa vyama vya Upinzani kujitahidi kusoma alama za nyakati na kukabiliana na watawala hata kieleweke.
Naomba kuwasilisha
🤣🤣 Kwamba Seif ndio nguzo ya ACT au? Ushawishi na nguvu za zitto kisiasa haujapungua hata kidogo. Logically Sasa hivi zitto ni mkubwa kuliko hata alivyokuwa kwenye hicho kikundi chenu!Bila Maalim Seif unafikiri leo angekuwa wapi? mlimdanganya hivi hivi kama mnavyo wadanganya akina Mdee na wenzake, matokeo yake akabakia peke yake yaani hata wale wasaliti wenzake walimkimbia. Ashukuru mgogoro wa CUF vinginevyo angekuwa na hali mbaya zaidi ya akina Lipumba au Mrema na Mbatia.