kwangu mimi hiki kipindi nimekiangalia na kufikiria kwa upana zaidi hasa ni jinsi gani ya kuwa karibu na watoto wetu na kujua kila afanyalo na marafiki, shule tunazowapeleka kuwafatilia kwa ukaribu.
Kuwa serious katika malezi na wakifika umri fulani ni kuwaeleza madhara na ubaya sio...
huu ni mwaka wa 55 tokea uhuru sasa sijui subira ipi maana kama ni mtoto alizaliwa ameishafika umri ambao anaweza kustaafu. bado tuendelee kuvuta pumzi lol!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.