Recent content by Double Elephants

  1. Double Elephants

    Nchi hii hata watu wote wawe na Degree moja, haiwezi kuendelea

    Kila siku watawala wanawaza kufanya yale yanawapa umaarufu wa muda mfupi ili wapate kura za wananzengo huku wakikipa kisogo kilimo chetu, sekta ambayo inaweza kutoa ajira nyingi na wana wa taifa hili kupata utajiri, kushiba, kuwa na akili timamu na kudhibiti magonjwa kwa kiasi kikubwa. Ardhi...
  2. Double Elephants

    Nchi hii hata watu wote wawe na Degree moja, haiwezi kuendelea

    Upo sahihi 100% Eliminate yetu imeshindwa kabisa kusaidia Taifa hili. Hii leo Maprof huko vyuoni na kwenye research institutions wameshindwa kulisaidia taifa na badala yake 'wanajikomba' kwa wanasiasa kwaajili ya teuzi. Hadi tutakapoacha kuamini ktk teuzi ndo tuishi, ndo utakuwa manzoni wa...
  3. Double Elephants

    Rais Samia ni Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokea Zanzibar

    Rais Samia ni Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokea Zanzibar - Fatma Karume akizungumza na DW leo tarehe 3/4/2021. Nini maoni yako. #MitanoTena
  4. Double Elephants

    GE2020 Kufuatia kauli ya Polepole ya kuwa CHADEMA walichapisha kura bandia ili kuchafua uchaguzi, CCM tunawataka mfungue kesi kuwashtaki CHADEMA

    Tayari, mambo hadharani. Mambo yamedhihirika. CCM tayari wamekiri kuwepo kura feki katika uchaguzi. Kwa kauli hii tu bila kujali zililetwa na nani inatosha kuthibitisha kuwa uchaguzi ile unakosa heshima ya kuitwa uchaguzi hata kama kura hizo zililetwa na CHADEMA kama ambavyo Bw. Polepole anadai...
  5. Double Elephants

    GE2020 Mzee Sumaye ahoji wapi alipo Mbowe katika kampeni za Lissu

    Sumaye naye kaishiwa tu . Lissu anamwona kapungukiwa nini??? Yuko fit, hoja motomoto, ccm hawana ubavu wa kuzijibu wamebaki na vihoja viso mashiko. Shame
  6. Double Elephants

    GE2020 Mhe. Tundu Lissu: Ni wakati wa hoja za majumuhisho ( final urgument)

    Hoja za majumuisho ziko palepale. Hoja za msingi zimetolewa, kasikia hoja upande mwingine, kafundisha mengi, kaambiwa mengi, kwahiyo haya yote yanapaswa yafanyiwe majumuisho. Zaidi ya yote tulihitaji mdahalo wa wagombea, hapo sasa hoja za majumuisho zingenoga. All in all, Lissu ni brain kubwa...
  7. Double Elephants

    GE2020 Nchi imelipuka, kila kona, kila sehemu naona ni Tundu Lissu

    UHURU, HAKI NA MAENDELEO YA WATU. WENYE NJAA NA KIU YA HAKI: CHAGUA TUNDU LISSU
Back
Top Bottom