Mabibi na mabwana hapa chini ni yote aliyoyasema Prof. Lumumba:
Ni wazi kuwa Prof. PLO Lumumba kama wakili nguli alijiandaa kweri kweri kumtetea mteja wake vilivyo.
Hata hivyo, katika haya yafuatayo wanalumumba wanayafumbia macho kana kwamba hawakuyaona wala kuyasikia:
1. Lumumba hukubaliani na sera za kizalendo za mwendazake kuhusiana na mapambano dhidi ya Corona yakiwamo upigaji nyungu, maombi na mitishamba.
2. Lumumba hakatai mwenda zake maishani alipotoka, ila anaitisha busara kumwacha apumzike kwa amani kana kwamba kuyarejelea yanamtesa mno mteja wake.
Kikomavu komavu tu, Lumumba kajitanabaisha kuwa akifika kwenye mazungumzo haya kama wakili mahakamani tu, mwenye shughuli moja ya kumtetea mteja wake bila ya kujali makosa au mema yake.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Ni wazi kuwa Prof. PLO Lumumba kama wakili nguli alijiandaa kweri kweri kumtetea mteja wake vilivyo.
Hata hivyo, katika haya yafuatayo wanalumumba wanayafumbia macho kana kwamba hawakuyaona wala kuyasikia:
1. Lumumba hukubaliani na sera za kizalendo za mwendazake kuhusiana na mapambano dhidi ya Corona yakiwamo upigaji nyungu, maombi na mitishamba.
2. Lumumba hakatai mwenda zake maishani alipotoka, ila anaitisha busara kumwacha apumzike kwa amani kana kwamba kuyarejelea yanamtesa mno mteja wake.
Kikomavu komavu tu, Lumumba kajitanabaisha kuwa akifika kwenye mazungumzo haya kama wakili mahakamani tu, mwenye shughuli moja ya kumtetea mteja wake bila ya kujali makosa au mema yake.
Au nasema uongo ndugu zangu?