Recent content by Dotto4r

  1. Dotto4r

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nauza galaxy J7...,imetumika kwa wiki mbili.Bei :550,000.
  2. Dotto4r

    Vifaa vya magari vinapatikana mtandao gani hapa nchini?

    Nahitaji kitasa cha cha mlango wa mbele kushoto,Escudo
  3. Dotto4r

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Nataka chukua Rav4 gx 2.0,ni bora kuliko aina zingine za Rav 4?,kwa mwenye ujuzi ni aina ipi ya gari hizi ni bora?,msaada wakuu tafadhari.
  4. Dotto4r

    Whatsapp calling activation

    Inafanya kazi,asante Mkuu
  5. Dotto4r

    Kiwanja kinauzwa Buswelu, Mwanza

    Weka bei hapa,mkuu
  6. Dotto4r

    Uchaguzi wa serikali za mtaa: Wakurugenzi watano wafukuzwa kazi

    Serikali za mitaa -5,uchaguzi mkuu wangapi wataondoka...
  7. Dotto4r

    Nafasi za masomo vyuo vya nursing na uhudumu afya

    Kwa ufaulu huo,hawezi kusoma Nursing Fikiria kitu kingine Mkuu
  8. Dotto4r

    Swali kwa Dr. Kitila, Zitto Kabwe, Mwigamba na Albert Msando

    Soon ntaanzisha cha kwangu.....,na Mwenyekiti ntakuwa mwenyewe,tena wa kudumu
  9. Dotto4r

    JK; Viongozi wala rushwa kuiangusha CCM uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 na 2015!!

    Kama makampuni yanapewa mikataba ya miaka 200 na viongozi walio katika serikali yako bila we kujua!!!!!!!!! Hivi hawa wasaidizi wako watakupotosha mpaka lini?,maana hata issue ya Katiba walikudanganya.........PULL THEM OUT,vinginevyo historia itakuhukumu Mzee.
  10. Dotto4r

    Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

    Habari hii iwafikie Mh.Steven Wassira,Mh.Chikawe & Mh.Lukuvi popote walipo
  11. Dotto4r

    Salma Kikwete azuru Jimbo la Nebraska, Marekani - Atumia Private Jet!

    Lengo la safari hiyo ni kutalii au kuomba msaada???,maana ka ni kuomba msaada ,uwaombao huo msaada watashangaa kwa Jet ulilokuja nalo!!!!!!!!!
  12. Dotto4r

    Megan Young kutoka Philipino ashinda miss world 2013 jumamosi hii

    Tz kushinda hii k2,Lundenga ajipange sana....
  13. Dotto4r

    Mzee Mangula kufunga ndoa na mwalimu kesho...

    Am sure this time PM hatavaa suti kama ile aliokuwa nayo Vatikani ktk Sherehe za POPE FRANCIS.
Back
Top Bottom