Recent content by Doto Dotto

  1. Doto Dotto

    Balozi Polepole alikuwa anatumia Laini ya Airtel Tanzania hadi siku anatekwa

    Hii mitandao ya simu wamejaa usalama wa chama tawala
  2. Doto Dotto

    Vyakula Maalum vya kuboresha mbegu za kiume

    🤔 tumbo nalo Lina kazi Aisee!!
  3. Doto Dotto

    Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

    Yan kibua hata Kwa risasi me siwezi kula Wana harufu flan hv ya ajabu Aisee!!
  4. Doto Dotto

    Je Nani atafuata kuwa mkurugenzi wa TISS?

    Riz one msoga
  5. Doto Dotto

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Hizi ndo mada zinazopendwa sana na waTz
  6. Doto Dotto

    Watanzania Kama KARNE hii tupo hivi nasadiki kusema Mwalimu Nyerere(Baba wa Taifa) alipambana Sana

    Me nahisi ule mwenge unaoitwa mwenge wa uhuru una Siri nzito nyuma ya pazia that's why
  7. Doto Dotto

    TANZIA GE2025 Job Ndugai, aliyewahi kuwa Spika wa Bunge afariki Dunia

    Kuna mmoja alitangaza kugombea then ghafla bin vuuuh!! akajitoa! Mmmh!🤔🤫 Huenda aliushi2kia mchezo
  8. Doto Dotto

    Onyo la CDF: Ilikuwaje CCM ikampitisha Ssebuyoya (mrundi anayejaza warundi nchini) kuwa mwakilishi wa vijana?

    Kwani mbunge wa Sasa ni nani? Na asili yake ni wapi? Biharamulo wengi ni wakimbizi. Yani kuanzia Karagwe, Biharamulo, Ngara, chato, Bukombe, na kigoma yoote ni asilimia 90 ni wakimbizi. hadi wilaya ya Tanganyika huko Rukwa wakimbizi tu
  9. Doto Dotto

    Akaunti za benki za Kanisa la Askofu Gwajima zadaiwa kufungwa

    Atanyooka tu! Mpaka ataomba pooh! Chezea serikali wew! Who are you?
Back
Top Bottom