Recent content by Doroth

  1. Doroth

    Moja ya jengo la kifahari linalosemekana kumilikiwa na aliyekuwa mgombea ubunge Ludewa

    Tumepoteza jembe la ukweli. May his soul rest in eternal peace!
  2. Doroth

    Yaliyojiri Mkutano wa Edward Lowassa na wanawake wa DSM kutoka Ukumbi wa Millenium Tower

    Na mi natoka nielekee. Mabadiliko yanaaanza na wewe/sisi wenyewe! Pamoja tunaweza!
  3. Doroth

    Kubenea kugombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia CHADEMA

    Kila la kheri Kubenea, tunahitaji watu kama wewe mjengoni
  4. Doroth

    Nawasilisha: Nia na ridhaa ya kuongoza

    Tupo pamoja mkuu.
  5. Doroth

    Nawasilisha: Nia na ridhaa ya kuongoza

    Kila la kheri bro, tunahitaji watu smart upstairs kama wewe huko mjengoni.
  6. Doroth

    Nisikilizeni CHADEMA: Tatizo ni UKAWA, Hili ndilo chaguo langu la rais wa 5

    Maneno ya busara haya, Dr. Slaa for Presidency!
  7. Doroth

    Humphrey Polepole: Sio Dr. Slaa wala Lipumba wanaofaa kuwa wagombea urais wa UKAWA

    Dr.Slaa ndo habari ya mjini hakuna mwingine
  8. Doroth

    Madiwani 10 wa CCM na UDP wajiunga na CHADEMA

    Habari njema hii
  9. Doroth

    Go Amina Go!, tumpigie kampeni dakika za nyongeza dada yetu apitishwe

    Go Amina go, team ukawa kazi kwenu Mungu awape nini
  10. Doroth

    Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

    Go Dr. Slaa, Mungu akusimamie safari hii tupate rais wa ukweli.
  11. Doroth

    Kikwete: Kuna nyoka mwenye ndimi mbili ndani ya Nyumba ya CCM

    Kwenye system hakuna msafi, binadamu yeyote hakosi kasoro. Tunachofanya tunaangalia nani afadhali kidogo
  12. Doroth

    Risasi zarindima, Majambazi wawili Raia wa Italia watiwa Mbaroni

    Jana nimeona live hii, ilikuwa kama movie. Walipita samora wakapiga risasi zao kutishia nadhani wakapata njia wakapenya, kulikuwa na foleni sana. Bora walikamatwa.
  13. Doroth

    Kuna ubaya gani kufuatilia nyendo za mpenzi wako?

    #Teamkufuatilia ukimpenda utamfuatilia tu...sio kila siku lakini kuna siku tu utajikuta unafuatilia ...lol
  14. Doroth

    Msichana wangu hajui kupika, kufua wala kazi yoyote ya nyumbani

    Vitu vingine hata sio vya kuomba ushauri...imagine mama yako angekuwa hawezi kufanya hivyo vitu ingekuwaje kwenu...naamini kuna vitu ungevikosa sana...upo tayari familia yako ivikose? Tafakari!
Back
Top Bottom