Taaluma ipi inaathirika wakati Taaluma inapanda kila mwaka.Kiongozi wa ajabu kabisa,alipaswa kuishauri serikali kuajiri walimu wapya.yeye anataka mwalimu mzee aendelee kufundisha lengo lake nini huyu?
mahali pengine alipotembelea aliungana na MKURUGENZI kuhakikisha watumishi wa ngazi ya chini hawalipwi posho ya masaa ya ziada huku akijua kuwa ndio wavuja jasho pia maslahi yao hayajaboreshwa kwa miaka mitano na madeni yao hayajalipwa yakiwemo ya uhamisho,utafikiri ni dhambi kubwa kuona...
Nyerere ni habari ingine wacha kabisa,huku MBULU Manyara Kuna nabii alijulikana kwa jina la Saigilo,kipindi Kama hicho Cha ibambangulu alitoa unabii uliotimia mwingi sana,ukiwemo wa mwalimu Nyerere
Naomba kuuliza hivi hiyo kampuni ya Kenya iliyonunua koroshow ghafi lini ilijenga Viwanda vya kubangua?Je, bei walionunulia hakuna kampuni au tajiri wa Tanzania anayeweza kununua au kuna bifu na sirikali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.