Hodi wanaforum, nami leo natafuta mwanamke mrembo, muelewa, mwenye mtoto mmoja tu au asiye na mtoto ila ana uwezo wa kupata mtoto. Sifa nyingine ni upole, tabia njema, mpenda maendeleo. Mwenye mtazamo chanya(Positive thinker). Pia anayejipenda( smart). Umri ni kama nilivyoelekeza hapo juu. Asiwe...
Kagame ana gundu. Sijui anajua athari ya hatua hiyo ktk uchumi wa mwananchi? Ongezeko la kodi litamwathiri zaidi mlaji wa mwisho. Ajue kwamba nchi yake haina bandari. Najua an hasira. Lakini hatuwezi.
Natafuta Bwana? Lazima uwe na hela? Nadani sharti lingekuwa mapenzi ya kweli na uaminifu. Mahela ni matokeo. Akiwa na hela leo, kesho akikosa si utamtosa! Serikali pia huwa inaishiwa. We bweteka tu, mi' natumbua macho tu.
Mimi ni mpare, nimempenda msichana lakini anahofia kudumisha uhusiano kwani baba yake mdogo aliyemlea alimuorodheshea makabila ya kuolewa kwayo. Lolote lililopo katika orodha hiyo ni halali. Sasa mwanzo tulikubaliana bila kujua mimi ni kabila gani. Alipojua tu, mapenzi yameanza kupungua. Hebu...
Bhululu, shardcole na chitemo naomba niwashaurini: Tafadhali ukurasa wa jamiiforums si wa matusi.
Kama hamna mawazo mazuri na ya kujenga, ni bora mkayaaga mashidano ya ukurasa huu. Hapa ni homepage of great thinkers. Mawazo finyu na yaliyokosa busara yashindwe na yafutike katika nguvu ya aliye...
Wengine kama hamna cha maana ni bora mnyamaze sio kumnyanyapaa dada fatma. Yeye ametoa dukuduku lake na ameweka wazi mahitaji yake.dada fatma, nikushauri: Hujasema wewe una umri gani na unataka mchumba wa umri gani? Kila la kheri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.