Recent content by dopvista

  1. dopvista

    Tathmini ya Mahojiano na Rais Magufuli: Pascal Mayalla aongea Star TV

    Unapokua unachuki kwa Mwanafunzi fulani na ikatokea huyo Mwanafunzi akafaulu unaweza usitambue uwezo wake bali ukaanza kuwaluamu Walimu kwa kutunga mitihani mirahisi.
  2. dopvista

    Tathmini ya Mahojiano na Rais Magufuli: Pascal Mayalla aongea Star TV

    Unapokua Mwalimu mwenye chuki kwa Mwanafunzi fulani, siku huyo Mwanafunzi anapofaulu Mtihani unaweza usitambue uwezo wake bali ukaanza kuwaluamu Walimu wenzako kwa kutunga mitihani mirahisi.
  3. dopvista

    Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano

    Kaka! Kwani ile hati aliyoionesha Sefue si ilikuwa binded, na aliionesha mchana! na Waandishi ndo waliipiga picha! Huoni kuwa hii hati kwenye picha ni kama imetolewa copy na haijawa binded na picha imepigwa usiku na aliyeishika ndo amepiga picha, Kabla ya kuulizia hiyo fax Jiongeze kwanza mkuu.
  4. dopvista

    DR SHEIN kufunga kampeni chalinze ni uoga.

    Matokeo ya jumla jimbo la Chalinze CCM 20812 CDM 2628 CUF 473 AFP 78 na NRA 59 CCM wameshinda vituo vyote
  5. dopvista

    Kiapo; chadema ikishinda chalinze nachukua kadi yao

    Matokeo ya jumla jimbo la Chalinze CCM 20812 CDM 2628 CUF 473 AFP 78 na NRA 59 CCM wameshinda vituo vyote
  6. dopvista

    KITUO cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB) kimemshitaki Rais Jakaya Kikwete The HAGUE

    Naomba kupata elimu; 1. Mapigo maana yake ni nini? 2. Mashambulizi hayo ni ya namna gani? 3. Kwani ni kina nani watawashambulia ili na wao wajibu mapigo? Nadhani nitapata cha kusema baada ya kupata ufafanuzi wa haya maswali kwa kuwa hadi sasa sijaelewa hii kauli.
  7. dopvista

    Rais Kikwete akataa kujibu tuhuma za gazeti la Uingereza

    Mie nahisi kawajibu wapumbavu kutokana na upumbavu wao.
  8. dopvista

    CHADEMA wateka desemba 9, CCM washindwa kujinadi maadhimisho ya uhuru wa Tanganyika

    Inaonekana wachangiaji wa humu ndani wengi wao ni walevi, maana wanashindwa kutofautisha mambo ya kitaifa na mambo ya vyama. Kweli njaa mbaya!
  9. dopvista

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Singida ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ni wanafiki...

    Sijaipenda hii dharau na wala si kitu cha kussurport kabisa, kila mafanikio yana misingi na misingi hii lazima iheshimiwe. Hii ni changamoto kwa kina Mbowe na Dr. Slaa na wao siku moja watakuja kudharauliwa kama hivi.
  10. dopvista

    Waraka uliowaondoa Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo CHADEMA huu hapa

    Hivi Arsenal wameshinda au?
  11. dopvista

    Simba vs setif live hapa

    kudadadeki! simba hoyeeeee!
  12. dopvista

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    simba kudadadeki!
  13. dopvista

    Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

    Hawajashinda CCM wala CDM walioshinda ni wana Igunga! tuache malumbano ya kisiasa tufanye kazi za ujenzi wa taifa letu!
Back
Top Bottom