Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein amefunga rasmi kampeni za ubunge jimbo la Chalinze kwa kuahidi mendeleo kwa wana Chalinze kitendo cha kumtoa rais Zanzibar aje kumsaidia Riz one ni dadili za uoga wa ccm kazi aliyofanya rais Shein ni kazi ya kinana,nape na kabineti zao kwa uoga huu watanzania msishangae kesho jimbo linachukuliwa na CDM.
cc ccm tuna vifaa vingi acheni wivu sisi tumemleta makamu mwenyekiti wa ccm km nyie mlivyomleta makamu mwenyekiti wenu said mohamed sasa wivu wa nini? au kwa sababu cc tuna wasomi nyinyi mna vilaza? someni na nyinyi halafu mnataka nchi
yaguju
Subirini dozi yenu kesho...
subirini dozi yenu kesho...
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein amefunga rasmi kampeni za ubunge jimbo la Chalinze kwa kuahidi mendeleo kwa wana Chalinze kitendo cha kumtoa rais Zanzibar aje kumsaidia Riz one ni dadili za uoga wa ccm kazi aliyofanya rais Shein ni kazi ya kinana,nape na kabineti zao kwa uoga huu watanzania msishangae kesho jimbo linachukuliwa na CDM.
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Shein amefunga rasmi kampeni za ubunge jimbo la Chalinze kwa kuahidi mendeleo kwa wana Chalinze kitendo cha kumtoa rais Zanzibar aje kumsaidia Riz one ni dadili za uoga wa ccm kazi aliyofanya rais Shein ni kazi ya kinana,nape na kabineti zao kwa uoga huu watanzania msishangae kesho jimbo linachukuliwa na CDM.
Matokeo ya jumla jimbo la Chalinze
CCM 20812
CDM 2628
CUF 473
AFP 78 na
NRA 59
CCM wameshinda vituo vyote
dozi ya kalenga kwa komred mtenga inatisha. Acheni wafu wajizike wenyewe. R.I.P cdm