Recent content by dopeboy

  1. D

    Rais Magufuli: Mh. Heche toa mkono mfukoni unapozungumza na mimi, wewe ni kama mwanangu wa kumzaa

    Yani millioni ilivyo kazi ukipata ! Wenzetu wapo vizuri.
  2. D

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Qnet Mradi wa chama Fulani hivi kikubwa , na ndio maana mpaka saa hii hawajaguswa.
  3. D

    Q-NET Company "biashara mtandao" ni utapeli unaoenea kwa kasi Tanzania. Serikali mko wapi?

    Biashara ya uongo hiyo, mafanikio hayalazimishwi mtu. Ukipata kujiunga nao wanachukia sana ,ata kama ni ndugu au rafiki utanuniwa mpaka ukome
  4. D

    Je, hii ni haki? Nimeshindwa kuelewa/kusoma alichoandika Daktari

    daktari kuwa na muandiko mbaya siyo sifa. hata kidogo.
  5. D

    Watoto wa Fatima: Mwanamke aliyewatokea ni nani na alisema nini?

    wasabato mtapata tabu sana, poleni sana kwa fake news. eti alisema i am a lady, nyoko kabisa jitu limekaa kabisa linasambaza taarifa lisilokuwa na uhakika nazo utadhani ni kweli. ellen g white atakuwa anapata tabu sana huko alipo kwa kupoteza watu
  6. D

    Arusha: Kwanini vijana wengi ni wachafu sana ?

    Anyway mi nilioishi nao na ambao ni washkaji zangu ni wajanja sana , wanyamwezi sana. Ila mbona ata Huku dar kuna mijitu mishamba mingi tu? Mjanja ya mdomoni jitu, kubwa linaishi kwao? Nadhani suala la ujanja na ushamba siyo la kugeneralise. Experience yangu na yako pia hawezi kuwa sawa.
  7. D

    Arusha: Kwanini vijana wengi ni wachafu sana ?

    Ah wapi, they don't care, alisema umetoka dar wao ndo kwanza wakakuona mshamba,fursa.
  8. D

    Arusha: Kwanini vijana wengi ni wachafu sana ?

    Kwahiyo unataka kumwambia, Vanessa mdee,adam mchomvu, b dozen, Dogo thanks, g nako , ...the list goes on sio wajanja? Nimekaa arusha kuna mitaa nakiri ni wajanja kuliko ata mitaa ya dar. Arusha wana touch of outside world, ni tofauti sana na mikoa mingine Tanzania. Dar kazi yetu ujana wa mdomoni...
  9. D

    Toyota Wish Vs Isis

    isis na wish.
  10. D

    Ipi tofauti kati ya Toyota Primio version ya 2004 na 2005?

    allion ikiwa na sports rims we acha kabisa. ila premio ni kwa wazee allion ya vijana. ila kila mtu na choice yake.
  11. D

    Toyota Wish Vs Isis

    hayo madude yana engine inaitwa 1zz. ni engine ambayo mwanzo itakufurahisha ila baada ya muda inachoka sana, itakula oil sana. toyota wameacha kuitengeneza , wanatumia 2zr badala yake, ila kwa hayo magari haijawa installed.
  12. D

    Ipi tofauti kati ya Toyota Primio version ya 2004 na 2005?

    tafuta allion,inafanana kila kitu na premio ila ina sura nzuri zaidi , premio imefubaa, yani face yake is not attractive ata muundo wa taa.
  13. D

    Kwanini Hosptali za Serikali hakuna dawa?

    We panda dreamliner utapona tu, dawa za nini?
Back
Top Bottom