Kuna interview moja inapita pita social media, jamaa anasema waislam huacha viatu vyao mlangoni wanapoingia msikitini ila wakristo wanaacha akili zao mlangoni. Nadhani you are reflecting what he is saying
Hatari sana… umelenga mule mule yaani wanajiona malaika; plus ujuaji mwingi kweli. Majority ni women ambao upringing yao haikuwa nzuri kwa kumkosa Baba wakumkosoa au kumchapa au kumthreaten au kum encourage etc
Wakati huku US na allies wake wa NATO wanatofautiana mambo kadhaa, waarabu wanaonekana wanataka kuungana na kuna shinikizo kubwa kwenye nchi zao za kuwa support Palestinians.
I can’t imagine mwisho utakuwaje hqpo middle east, mawe yataongea.
Ndoto za Alinacha… Taifa ambalo wamedhibitiwa na kila aina ya silaha, madawa,chakula, umeme na maji na Taifa ambalo linawezeshwa silaha za kivita na ulinzi… huoni kama uwanja umeinamia upande mmoja? Wote wakutane face to face halafu wapambane ndio tujue nani mkali…. Haki itasimama hata kama...
Daa.. aisee hili bonge la muvi. Ila siasa za Ufaransa kwa waafrika magharibi ni mbaya sana; wamewanyonya sana waafrika kupitia ile mikataba yao ya benefits of colonization. This has to come to an end now… enough is enough
Kuna dini kwa kujifagilia haijambo… waambie sasa walete aya au andiko kuthibitisha hoja yao… hola. Wakiletewa na dini ya mwenzao… wanageuka kisirani. Duh [emoji849]
Nikichojifunza kwenye mijadala mingi ni kwamba, waislam hutoa aya za Quran ama hadith za mtume kama ushahidi, LAKINI wakristo hawafanyi hivyo ; hawatoi hata aya ya Biblia kuthibitisha mambo au jambo Lao. Instead wamekuwa watu wa ku react na kuanza kutukana upande wa pili.
Kama waislam wame...
Mkuu agiza Pepsi baridi nitalipa [emoji4]. Ila mi najiuliza hivi ukigundua mwanamke kabadilisha ubini wako, sheria haiwezi kumuhukumu ukamchukua huyo mtoto?
Daa… kumbe tuko wengi tunaopitia hizi changamoto. Ila akina Mama pia mbona mnakuwa visirani hivyo? Na sio mara zote akina Baba ndio wenye tatizo Bali hata wao ndio huwa kikwazo ila sheria ya malezi inawabeba na kuwapendelea basi wanaitumia kama fimbo ya kutuchapia… daah
But why? Miaka 18 watoto is watamsahau Baba na Mama atapata advantage zaidi; na wengine huwajengea chuki watoto kiasi wanakua hawana mpango na baba. Mimi kuna wakati nadhani Mahakama ili review hizi sheria maana kama inapendelea upande mmoja, na akina Mama Wengi hu take advantage ya hizi sheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.