Recent content by Donrw

  1. D

    JamiiForums Tanzania Tulio hamia nyumba zikiwa hazijaisha tupeane uzoefu na changamoto

    Aise hongereni nadhani mpaka leo mmeshakamilisha pakubwa na pengine mshamaliza kabisa
  2. D

    JamiiForums Tanzania Mzee Kikwete hawezi kuacha kulitumikia taifa kama Rais Mstaafu eti kwa kuogopa vitisho vya Maaskofu

    Muacheni Mh. Rais afanye kazi yake mbona mazuri ni mengi tu kayafanya
  3. D

    JamiiForums Tanzania Niwekeze kiasi gani UTT AMIS ili gawio langu kwa mwezi ifike 250k

    Nilikuwa na shida ya ela sikuwa na sehemu nyingine ya kupata
  4. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongereni wote mliopata. Mukawe watumishi wema wenye welding na kazi zenu. Karibuni utumishi wa Umma
  5. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Apo ni kumuomba mungu upangiwe sehemu nzuri japo hakuna sehemu mbaya kama unaanza kupambana ni suala la muda tu. Kikubwa ni kupambana. Nakumbuka tulifanya interview MDAs and LGAs mwaka jana lakin kuna watu walipangiwq MDAs na wengi walipangiwa LGAs kikubwa upate check number tu
  6. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mama anaupiga mwingi
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kuna pdf uko
  8. D

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    mtihani wao upoje jamn
  9. D

    JamiiForums Tanzania Usaili police garduate

    maswali yalikuwaje mkuu
  10. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    GPA kwa utumishi sio kigezo cha kukosa kazi. Kuna rafiki yangu alipata GPA ya 2.2 computer engineer UDOM mikeka miwili nyuma katoboa ofisi ya waziri mkuu, ajira, watoto, na wenye ulemavu saiv anakula zake induction coz
  11. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Siwezi kukuhakikishia ilo mkuu, maana hata mimi sikuwa na connection lakini nilipata. Lakukushauri usiache kufanya usaili hata kama nafasi ni moja.
  12. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongereni mliolamba asali mkawe watumishi wenye weledi na wachapa kazi. Karibuni utumishi wa Umma
  13. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ni assumption tu kama atakuwa hajafanya interview alafu anachagua placement
  14. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sasa hakufanya interview alafu kapata chance kama iyo anakataa. Wanavomuambia asaini asubiri interview nyingine ni mtego huo
  15. D

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yani uyo akithubutu kusaini nadhani asuburi interview nyingine ndio bye bye
Back
Top Bottom