ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
- Thread starter
- #21
Ivyo ni vitu vya kawaida sana kupimwa ata JWTZ hupima ivyo!
Angalau wameanza chukua graduates maana kuna polisi huwa nakosa imani na elimu zao kwa maamuzi wanayochukua
kama ni suala la elimu, basi kamhanda utashindwa kumsema, kwani shule ipo. Cha msingi ni kuzingatia miongozo ya utumishi na usiwe na upendeleo wa siasa