Mimi siasa naweka pembeni na nikirudi kwa upande was dini yetu huku mtumishi was Mungu haruhusiwi kutuoa siri au matatizo ya muumini hadharani hats kama wametofautiana, turejee kwa Bishop Gwajima huyu huyu kipindi kile amemkashfu Kadinali Pengo, Kadinali hakujibu mapigo zaidivya kuwaomba waumini...
Hana madhara yoyote sana anapunguza nguvu
ya Ukawa kwani yeye ndiye aliyekuwa boss wa
kuuza nyumba za serikali ambazo
zinalalamikiwa
Haaaa haaaa hapa nahic ukawa wawe makin watu wameshasoma upepo uckute wanaepa kitanzi kimya kimya, wanajua ukawa wakishika ikulu basi watakuwa watuhumiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.