Mali yote wanayotamba nayo CCM vyote ni Mali ya watanzania wote. Ikitokea Chama pinzani kitwaa madaraka Mali zote zitakuwa maliya wote kwani zilipatikana kipindi cha mfumo wa Chama kimoja... Na huwezi compare na Mali za jumuiya za kidin
Acha unafiki wewe hakuna cha kujifunza kwake huyu kwani alipoacha upadre alinajisi Roman catholics pia alipoacha siasa kinafiki alinajisi mageuzi na mabadiliko labda zombie ndiye anaweza mfata... Yote haya alisababishiwa na tamaa ya umimi... Kwa Dunia yasasa ni wachache sana watamkubali hasahasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.