Recent content by Donald Marcus Hemu

  1. Donald Marcus Hemu

    Bayport: Majambazi yanayolindwa na Serikali?

    Mwandishi wa hicho kitabu ni Nan mkuu
  2. Donald Marcus Hemu

    Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

    Hiyo Range haikuamua tu kutengeneza ligi na wewe mkuu 😂😂😂
  3. Donald Marcus Hemu

    Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, mimi ni mwajiriwa, ili niweze kuacha kazi

    Hiyo pesa umeipata Kwa njia Gani!!? Ya mkopo au ni mishe zingine out na mkopo!!? Pili ulishawahi fikiria changamoto utakazokutana nazo ukiwa umeacha kazi endapo unarun hiyo biashara!!? Ipi itakayokuwa financial assistance katika biashara Yako!!? Je siwezi fanya biashara katika hii 30M bila...
  4. Donald Marcus Hemu

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Mkuu hizi Bitcoin Bado umezihold 😁😁
  5. Donald Marcus Hemu

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    😂😂😂 Hizi za ndan ni nyingi sana aisee 😂😂😂 hii si Kodi kabisa ya chumba
  6. Donald Marcus Hemu

    USHAURI: Nataka kununua simu 'Xiaomi Redmn Note 10 Pro'

    Hapa yenyewe comparison tunafanya na 3a ambayo ilitoka miaka 3 iliyopita kabla ya note 10 pro ila tukisema tuchukue pixel iliyotoka mwaka mmoja na Redmi ndugu yangu Redmi Bado sana maana sijui kama Kuna kitu atagusa....
  7. Donald Marcus Hemu

    USHAURI: Nataka kununua simu 'Xiaomi Redmn Note 10 Pro'

    Waulize wenzako watakwambia 😂😂😂 wewe ulikimbilia kudownload Kwa kusikia tu bila kuwa na maelezo kamili... Asimame mwenye note 10 pro yenye gcam na wewe ambaye hauna gcam Kwa picha nzuri Yako ambayo Haina itaonekana takataka tu😂😂
  8. Donald Marcus Hemu

    USHAURI: Nataka kununua simu 'Xiaomi Redmn Note 10 Pro'

    Pixel nilipata pixel 4 kavu betri likawa dogo zaid Nika prefer hii sababu ya betri na the same camera na budget
  9. Donald Marcus Hemu

    USHAURI: Nataka kununua simu 'Xiaomi Redmn Note 10 Pro'

    Redmi wenyewe walitaka kupiga picha Kali Wana download kamera ya Google pixel Gcam 😂😂
  10. Donald Marcus Hemu

    USHAURI: Nataka kununua simu 'Xiaomi Redmn Note 10 Pro'

    Refresh rate Redmi ana ngap na pixel ngap!!?
  11. Donald Marcus Hemu

    USHAURI: Nataka kununua simu 'Xiaomi Redmn Note 10 Pro'

    Pixel ana 12mp ila huyo Redmi na 108mp zake anaonekana kama Tecno tu Android update pixel anamzidi Redmi bugs na crashes Redmi anamzidi pixel inshort Bado sana kwenye kufananisha simu kaka 😂😂😂 ukitoa betri ukubwa wa screen na microsd ndivyo vitu ambavyo 10 inaizid pixel Tena pixel 3a maana...
  12. Donald Marcus Hemu

    USHAURI: Nataka kununua simu 'Xiaomi Redmn Note 10 Pro'

    Mkuu katika simu hamna kitu nnachojali kama kamera na performance hasa swala la smoothness na kuwa up-to-date je Redmi anamzidi pixel katika Hilo!!!?
Back
Top Bottom