Sometimes muwe na akiba ya mambo mnayofanya kuyatoa public!! Huwez jua ni watu wangapi uta wa affect na ukizingatia humu tuko rika tofauti!! Perception is always different in accordance to people!
Mi nahisi ni wajue tu namna ya kuwa control wanawake!! Mwanamke kama anakupa papuchi, na mna share na mambo mengine that means kuna kitu pia ambacho anakihitaji kutoka kwako!! Na kama mjanja ukisha kijua hicho kitu, hiyo ndo inakua chance yako kumcontrol sasa. Bt ukiona anazingua, unamtegea...
Kaa nae akueleze hana hisia tu from no where au kuna kitu kinafanya asiwe na hisia? Ukisha jua tatizo ni nn ndo anzia hapo mkuu!! Huwez tatua tatizo bila kua na uhakika kama kweli lipo au mtu anajifanya?
Inategemea wakati ana mfukuzia walikua katik Situation gani. Je, kwa sasa amebadilika? Na je, jamaa anajua reason ya kukataliwa kipindi kile? Huenda huyo dem amesha mwagwa na lishkaji lake ndo maana ana mrudia jamaa coz maranyingi ndo inakuaga ivo. Principle yangu huwa ni hii: " Do not be an...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.