Pakawa,
umejigundua kama umeandika upuuzi kama vitu huvijui sio kuandika andika tu
mloganzila hakuna mwanafunzi anae enda na usi mdharau anae soma udaktari Tanzania tena muhimbili maana amekuzid vingi ukitoa kutopoka kwako
VIjana mlio maliza form six au pre first year karibuni chuo chetu ni kizuri sana japo ukija na moyo wako mwepesi tunaeza kuzika kabla ya muda wako
Karibu chuo chetu unaeza ukaamua kusoma au kupiga bata kumbuka sup zetu 3 tu unapata disco karibu sana muhas .Huku ukiwa mwaka wa 3 mpk wa 5 ukipata...
Jumuiya ya wanafunzi wa chuo cha afya na sayansi shirikishi muhimbili kina sikitika kutangaza kifo cha mwanafunzi wa mwaka wa tatu ndugu MARCUS EDWARD KAHITWA wa kozi ya famasia kilichotokea gafla..mazishi na taratibu zingine zitatangazwa
Nimejaribu kuvunga sana ...sema nimeshindwa labda mi sina sikio la studio lakini nadhani jux amekuwa na style moja ya kuimba ..yan nyimbo zjmekuwa na ladha moja ..mpka zina kinai mana watu tunahitaj mixing ya ladha ...inatupa kazi wadau tunao mkubali jamaa kama ..mna namba zake mwambien kitaa...
Nikiwa mmoja wapo wa wanachuo ambao nitakuwa mhitimu panapo majaliwa miaka kadhaa kama mungu atanipa uhai mbeleni nadhani kuna ndoto ambayo wanachuo wote bado tunazo za kumaliza chuo na kupata ajira panapo majiliwa na bado sijaamka. Pia wapo pia wenzangu ambao wao ni wahitimu mwaka huu bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.