Recent content by domlib

  1. D

    Vurugu Mara: Msafara wa Heche wavamiwa, Mwanachama mmoja wa CHADEMA Afariki

    Usiongee bilakuwa na uhakika magufuri amehusika vipi. Uwe mwangalifu unapotoa kauli usije ukajikuta umenasa kwenue makosa ya kimtandao
  2. D

    Aliyetumikishwa ukahaba China ahojiwa Interpol saa 11

    mbona sio china tu, watanzania wengi tu wanatumikishwa kwenye biashara ya ngono pande za ulaya, lakini wao wenyewe hawasemi, wengi wao wameona ndo maisha yao na wameridhika nilikuwa napita tu, nikipate, mengi nitawajuza nalifanyia kazi hili huku nilipo
  3. D

    Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Itafika hatua wakristo tutasema tumechoka, kwanini tuonewe? mara risasi mara tindikali, kwanini watu wamungu? halafu serikali inasema inafanyajuhuudi watu wakamatwe wapiiiiiiii? haya mambo ya mwisho, lakini mwisho wake utakuwa mbaya
  4. D

    Mtawa Mkatoliki apigwa Zanzibar

    What do we need from Zanzibar, we better break this stupid muungano,
  5. D

    Mwakyembe aagiza wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wakamatwe!

    Tuwapate wapi wakina Mwakyembe wanne tu, nchi hii tutachota maziwa kwenye mabomba ya maji BIG UP MWAKYEMBE, NA HAKUNA ATAKAYE KUDHULU WATANZANIA WAPENDA HAKI TUKO PAMOJA NAWE. MUNGU AKUBARIK
  6. D

    Mmoja auawa kwa risasi huko Tegeta

    inawezekana watu hao wanamfahamu vizuri na walikuwa na deal moja iwaje wajibishane na kum shoot
  7. D

    Mmoja auawa kwa risasi huko Tegeta

    duh dar imekuwa hatari sana
Back
Top Bottom