Recent content by Domino123

  1. D

    Rais Magufuli anavyozungumzwa maofisini

    pumbavu mwenyewe....2020 chukua fomu kama unaona watanzania hawajui kuchagua labda wanaweza kumchagua kichaa kama wewe
  2. D

    Rais Magufuli anavyozungumzwa maofisini

    nchi hii ilishakua ya udalalali...hatuwataki makanjanja mjini....watu wakalime ...kama ulikua makanjanja ndio wanaoipata fresh saiv...air tuliozoea Kula kwa jasho....jeshima yetu imerudiiiii...wadada wa kuhongwa vts mjini,madalalali,watu wa dili bandarini n.k...tukashike jembe...hapa kazi tu
  3. D

    Bungeni: Naibu Spika alalamikiwa kumzunguka Spika Ndugai

    clip yenyewe kajirekodia chumbani.....kwa namna hii tutapata mawazo ya wabunge hewa....si tupo waendelee tu kujirekodi
  4. D

    Bungeni: Naibu Spika alalamikiwa kumzunguka Spika Ndugai

    wabunge wetu wapo kwa ajili ya matumbo yao ndioana wanataja fedha zirudi bungeni wazipangie matumizi hata kama kinachoenda kufanyika kina maslahi ki taifa madhalani ujenzi wa miundombinu Na kuboresha Huduma...kwao matumbo yao ni ya nsingi kuliko vitanda vya wagonjwa Na madawati...mkija Na sera...
  5. D

    UKAWA wamegoma bunge kurekodiwa badala yake wanajirekodi kupitia simu na kurusha mitandaoni

    wange burn kwenye CD wauze wapate hela..itawapunguzia jazba
  6. D

    Rais Magufuli hana sera yoyote ya kukuza uchumi, yupo yupo tu huku uchumi ukiteketea kwa kasi!

    Na kama hawajalipwa fidia hiyo kampuni nayo jipu
  7. D

    Rais Magufuli hana sera yoyote ya kukuza uchumi, yupo yupo tu huku uchumi ukiteketea kwa kasi!

    Natamani aliyeweka bandiko angekuwa na uelewa walau hata 1/4 ya ulichosema mkuu.....hakika angeondoa uzi huo....
  8. D

    Rais Magufuli hana sera yoyote ya kukuza uchumi, yupo yupo tu huku uchumi ukiteketea kwa kasi!

    Kwahyo tuwaache waendelee kuiba sio,nimekusoma jombaaaa....
  9. D

    Rais Magufuli hana sera yoyote ya kukuza uchumi, yupo yupo tu huku uchumi ukiteketea kwa kasi!

    Ushauri upi alioukataa jombaa,acha mihemko basi
  10. D

    Suluhisho la Udhaifu wa kiingereza cha Magufuli ni "Assah Andrew Mwambene"

    Labda mwambene mjonba ake huwez jua mkuu
  11. D

    Suluhisho la Udhaifu wa kiingereza cha Magufuli ni "Assah Andrew Mwambene"

    Acha undezi,hawa wazunguhawana jipya.
  12. D

    Zanzibar: CUF hawaepukiki

    Muache magufuli afanye yake wala usimsemee........huu ndio mda wa kuwanyoosha bila kujali itikadi za vyama...viva magu
Back
Top Bottom