nchi hii ilishakua ya udalalali...hatuwataki makanjanja mjini....watu wakalime ...kama ulikua makanjanja ndio wanaoipata fresh saiv...air tuliozoea Kula kwa jasho....jeshima yetu imerudiiiii...wadada wa kuhongwa vts mjini,madalalali,watu wa dili bandarini n.k...tukashike jembe...hapa kazi tu
wabunge wetu wapo kwa ajili ya matumbo yao ndioana wanataja fedha zirudi bungeni wazipangie matumizi hata kama kinachoenda kufanyika kina maslahi ki taifa madhalani ujenzi wa miundombinu Na kuboresha Huduma...kwao matumbo yao ni ya nsingi kuliko vitanda vya wagonjwa Na madawati...mkija Na sera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.