Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,287
- 2,437
Wewe ni kituko tu unataka kutufurahisha,Unashindwa kuiuliza hiyohiyo katiba
Ikitokea mtu akapata 99%
pia inakuwaje??
hiyo katiba imeweka ukomo wa Asilimia kwa mshindi!?
Kwahiyo anapewa kama zawadi au?Mkuu,kama mshindi wa pili hana asilimia kumi za Urais,chama cha mshindi wa pili huyo kinapaswa kupata kiti cha uwakilishi.
Mzee Tupatupa
Salute mkuu njiwa leo naona umeongea mambo kiukwelileo nakubaliana na wewe 100%, uchaguzi huu marudio ulikuwa haramu ...
Halah......Hivi huko Zenji hakuna ukawa ila kuna ukiwa
Muache magufuli afanye yake wala usimsemee........huu ndio mda wa kuwanyoosha bila kujali itikadi za vyama...viva magukama hiyo akili ya magufuli basi,muafaka wa kisiasa ni ndoto kuwepo!
bado huijui siasa na bado hutambui kwanini Magufuli alitamka yale huku Zanzibar kukiwa tayari kumetangazwa Mshindi.....Mkuu VUTA NIKUVUTE waambie vijana wako wa Lumumba wasionyeshe ujinga wao. Katiba ni katiba inapokuwepo itakuwa ni uhalifu kuivunja.
Umemsikia Magufuli kuhusu uchaguzi wa Meya Dar? Huu ni ujumbe tosha kwa uchaguzi wa Zanzibar.
Lumumba mjipange Magufuli yuko njiani kuitumbua CCM tena kwa kushtukiza
Aione TataMadiba na wajinga wengine wa Lumumba
MIMI NIJUACHO, ZANZIBAR HAITATAWALIKA. MAANA WAFUASI WA CUF HAWATAWASIKILIZA VIONGOZI WA CCM KUANZIA SHINANI HADI TAIFA. IN A WAY KUTAKUWA NA CIVIL DISOBIDIENCE. NA NI HATARI KWA UCHUMI NA MSTAKABALI WA ZANZIBAR KWA UJUMLA. NGOJEENI TUONI SI YETU MACHO.
Kwa mara ya kwanza napingana na wewe. Waliotunga hiyo katiba walijua hilo linaweza kutokea na wakaweka maelekezo ikitokea hivyo nini kifanyike (take as an asignment) CUF wanachosubiria ni busara za Shein na nafasi mbili za wapinzani (kwa mujibu wa katiba) katika nafasi 10 za upendeleo kwa Rais.
Ikitokea hivyo, nafasi ya makamu wa kwanza wa rais kitapewa chama kingine cha upinzani cha pili kwa idadi ya wingi wa wawakilishi.watafanyaje??. katiba haikueleza nini kifanyike ikiwa hali itakuwa hivyo?
Tusiombe ifike huko.
Ikitokea hivyo, nafasi ya makamu wa kwanza wa rais kitapewa chama kingine cha upinzani cha pili kwa idadi ya wingi wa wawakilishi.
Hogera wewe unayeijua siasa kuliko watu wote. Huyo Magufuli wako humfahamu kama ninavyomfahamu kwa kufanya naye kazi zaidi ya miaka ishirini. Endelea na blanketi la Magufulibado huijui siasa na bado hutambui kwanini Magufuli alitamka yale huku Zanzibar kukiwa tayari kumetangazwa Mshindi.....
Nahisi wewe ni mwanasesere, Huo muziki baraza la wawakilishi titauona toka kwa watu gani, wanaoingia kwa tiketi ya chama gani? Kama usiepunguani hujui uchaguzi huu ulihusu Wawakilishi pia tutakuitaje. Wambie vyeti vyao wakachambie wa halali wameshapatikana subiri matokeo ya wawakilishiAcha upunguani we kiwavijeshi,CUF haina cha kupoteza katika mazingaombwe yenu na wala haina sababu za kusubiri busara za huyo firauni wenu aliyetangazwa na jecha.
Uchaguzi uliopita ambao ndiyo unaotambuliwa na CUF na Jumuiya za Kimataifa,CUF ilishinda viti vyote Pemba na viti 9 unguja na Washindi wapo na walikabidhiwa vyeti vyao vya ushindi.Subiri vikao vya Baraza la wawakilishi ndiyo utaona mziki wake.
Sarakasi za aina hii zinapatikana Tanzania chini ya uratibu wa ccm tu,haiwezekani zec ufute uchaguzi wote kwa kisingizio cha kasoro kwenye majimbo ya Pemba,kama Pemba ndipo waliposema kuna kasoro,kwa nini wasingefuta majimbo ya Pemba uchaguzi ukarudiwa huko badala ya kufuta nchi nzima ya Zanzibar?