Kweli sie ni wadanganyika na si watanzania, MTU alieliibia taifa Mali ya uma leo hii tunasema anafaa!!!! Na kama ilikuwa ngaZi ya juu mbona hakusema kipindi hicho, na alikubali kujiuzuru ili iweje? Na bila aibu eti mbowe anasema chama chake kimefanya kaz kubwa kumconvice Edo ajiunge chadema, mie...
Chdm+ukawa ni sikio LA kufa halisikii dawa!!! Nimajuz tu zito aliibua swala LA epa+Richmond. Lowasa akawajibishwa? Sasa Leo hayo ya ufisadi yamesahaulika. Salsa anabembelezwa ajiunge chdm. Mmmmhhhhh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.