Recent content by dominho

  1. dominho

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya bulks SMS

    Kama hizi
  2. dominho

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya bulks SMS

    Bulk sms ni messages ambazo Unatumia wewe mfanyabiaashara/kampuni kujitangaza au kuwatumia taarifa wateja wako..Unatumia mteja txts automatically au manually insyosomeka jina la kampuni Kwa mfano hii txt chini... Hizi bulk msg kampuni/mfanyabiashara anaweza kununua Kwenye makampuni yanayotoa...
  3. dominho

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya bulks SMS

    Mcheki Huyu mtu 0754869302
  4. dominho

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa mwenye ufahamu juu ya bulks SMS

    Wacheki Data vision Ltd wenye MLIPA wanachaji 30 kwa kila message...utaratibu ni mpaka uwape Sender ID waitume TCRA kui verify kwa gharama ya 3000 then unaanza kutumia bulk sms. Kuverify sender ID TCRA wanachukua si chini ya week 2[emoji2] Imail yao...
  5. dominho

    JamiiForums Tanzania Hivi kupata leseni ya biashara ni mpaka uwe na Tax clearance?

    Watu wasuchojua ni kuwa kuna leseni daraja A na B..leseni daraja A zinatolewa Kwenye biashara/kampuni zinazofanya biashara yenye sheria/sera za kitaifa mfano huduma za mikopo,hospital,import naexport nk hawa wote wana apply leseni zao wizara husika sema now brela ndo anatoa leseni hizo miaka...
  6. dominho

    JamiiForums Tanzania Zitto: Makubaliano ya Serikali na Barrick Gold changa la macho

    Paschal mayalla atawaambia nini watu😂😂
  7. dominho

    JamiiForums Tanzania Zitto: Makubaliano ya Serikali na Barrick Gold changa la macho

    Mzungu uwaga si mpumbavu!ukiona amekubali kuingia kwenye deal na wewe ujue kuna sehemu lazima akupige!Barick alikuwa anapambana na mwenzake abaki yeye atupige
  8. dominho

    JamiiForums Tanzania Msaada brela

    Mimi Nina week sasa kila siku naambiwa nilekebishe taarifa zangu zaidi ya mara 4..alafu nishawapa hela yao kila sku nakutana na email zao wahuni sana
  9. dominho

    JamiiForums Tanzania Msaada brela

  10. dominho

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa masomo ya Biashara anapatikana

    Sio kweli....nipe darasa uone kazi kaka
  11. dominho

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa masomo ya Biashara anapatikana

    Elimu bure ni sababu...pia hyo matokeo ya shule in general hayakuwa vizuri....hilo swala la kutembea na vijana sio kweli.
  12. dominho

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa masomo ya Biashara anapatikana

    Salamu wakuu, Mimi ni mwalimu wa masomo ya biashara(book-keeping or accountancy na commerce) natafuta kazi Nimemaliza chuo kikuu cha Mzumbe bachelor of ed in commerce & accountancy. GPA 4.2(upper second) Nina uzoefu wa miaka 3 katika kazi Nina uzoefu wa masomo ya biashara kwasabu nina msingi...
  13. dominho

    JamiiForums Tanzania Is Zari and Diamond Platinumz project continues? What about Wema?

    noma xn,,,project inaendelea
  14. dominho

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi Star times acheni wizi!!

    noma xn wale wezi kama wezi wengine
Back
Top Bottom