Bulk sms ni messages ambazo Unatumia wewe mfanyabiaashara/kampuni kujitangaza au kuwatumia taarifa wateja wako..Unatumia mteja txts automatically au manually insyosomeka jina la kampuni
Kwa mfano hii txt chini...
Hizi bulk msg kampuni/mfanyabiashara anaweza kununua Kwenye makampuni yanayotoa...
Wacheki Data vision Ltd wenye MLIPA wanachaji 30 kwa kila message...utaratibu ni mpaka uwape Sender ID waitume TCRA kui verify kwa gharama ya 3000 then unaanza kutumia bulk sms.
Kuverify sender ID TCRA wanachukua si chini ya week 2[emoji2]
Imail yao...
Watu wasuchojua ni kuwa kuna leseni daraja A na B..leseni daraja A zinatolewa Kwenye biashara/kampuni zinazofanya biashara yenye sheria/sera za kitaifa mfano huduma za mikopo,hospital,import naexport nk hawa wote wana apply leseni zao wizara husika sema now brela ndo anatoa leseni hizo miaka...
Mzungu uwaga si mpumbavu!ukiona amekubali kuingia kwenye deal na wewe ujue kuna sehemu lazima akupige!Barick alikuwa anapambana na mwenzake abaki yeye atupige
Salamu wakuu,
Mimi ni mwalimu wa masomo ya biashara(book-keeping or accountancy na commerce) natafuta kazi
Nimemaliza chuo kikuu cha Mzumbe bachelor of ed in commerce & accountancy.
GPA 4.2(upper second)
Nina uzoefu wa miaka 3 katika kazi
Nina uzoefu wa masomo ya biashara kwasabu nina msingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.