Recent content by Dol

  1. D

    Miaka 60 ya UDSM: Mafanikio, Changamoto & Funzo

    Tuliosoma SUA tulikuwa tunabeba maeneo ya itigi
  2. D

    Hii ndio aina ya Demokrasia yetu ya kichina, wapinzani wakiilazimisha ya kimagharibi watatumia

    Umesoma history vizuri na kuielewa vizuri kongore kwako. Marekani umejengwa na fugitives kutoka ulaya na msingi mkubwa wa mafanikio yao ni katiba ambayo imetoa uhuru mkubwa wa mwanadamu kutia kipawa chake kujiletea maendeleo. Sisi hatuna democracy kabisa tuna udictator wa kishamba. People a
  3. D

    Uteuzi: January Makamba ateuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Ndugulile, Kalemani, Chamuriho na AG Kilangi watenguliwa, Feleshi ateuliwa

    Una hasira za ukabila ndugu, Tanzania kuna cultural diversity sana tu kwa hiyo yakupasa kuwa mvulimivu maana katika makibila yetu huwezi kukuta perfection
  4. D

    Urais 2025 kwa tiketi ya CCM ni mtifuano hasa

    Umejitahidi kupiga majungu kwelikweli
  5. D

    Ushauri: Masau Bwire awe msemaji wa timu ya Simba

    Masau bwire ni mjeda bro, kumuachisha jeshi ni gharama unakumbuka kwa mwinyi kazimoto Simba alikamuliwa kwelkweli
  6. D

    Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

    Jitahidi kuwa mvumilivu mkuu, kama mtu akitukana achana nae. Ni kawaida ya mwanadam kuwa na subjective instinct hata mwendazake alikuwa subjective sana ndo maana alichukia hata waliokuwa wanamuelekeza na waliposoma upepo wakageuka vikaragosi
  7. D

    Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

    bro uwe unafuatilia mbona Papa kashazungumza on behalf kuwa watu wachanje kwani chanjo ni salama na ishara ya upendo. I wish you could be informed Unakunywa bia gani agiza nakuja kulipa. Mapadri wanafundishwa royalty sana kuanzia juu mpaka chini. Kutii maagizo ya Baba askofu kwa mapadri hakuna...
  8. D

    Kitendo cha Yanga kumleta Koffi Olomide ni ujanja wa kujaza uwanja kwenye siku ya Wananchi, hawana watu wala nini

    Nimependa utani wako vijana wanatelemsha matusi si unajua malezi siku hizi bwana. Mm mwenyewe mwnasimba nutaenda kusakta rumba na toto ya mboka. Wanayanga hamjui utani acheni hasira
  9. D

    Hukumu ya Ole Sabaya kutolewa Oktoba 1, 2021

    Asante kwa ramli
  10. D

    Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

    Bro uwe unafuatilia mbona Papa kashazungumza on behalf kuwa watu wachanje kwani chanjo ni salama na ishara ya upendo. I wish you could be informed
  11. D

    Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

    Bro experience ya ant vaccine protest inayo. Kama mtu unafuatilia juzi Papa aliwaasa watu kuwa chanjo ni salama na ishara ya upendo utesema Papa katoa msimamo wake binafsi au amekuwa manipulated na watu wachache. Kugawanyika na kawaida labda kwa watu ambao hawawezi kuvumilia diversities...
  12. D

    Dar: Askofu Ruwai’chi aagiza mapadri wote kupata chanjo dhidi ya UVIKO-19

    Kanisa katoriki ni taasisi imara na inayoongozwa kwa weledi wa hali juu. Tuliosoma seminary tunafahamu hilo na ndio chombo pekee kilichoonesha msimamo wakati wa vituko vya awamu ya tano. Tuna shida sana kwenye educational program zetu zinatoa half cooked personnel. Haiwezekani na kituko cha...
  13. D

    Kwa mkwanja huu wa Chama na Miquissone, wewe ungeweza kubaki Simba Sc?

    Unajifanya unaakili kumbe mbumbu tu hujui lolote kuhusu mfumo wa uwekezaji ndani ya Simba upoje. Watanzania tumejaa wivu kaa mbwa vile. Account ya club unaijua, signatories unawajua? Kampuni inayomiliki Simba unaijua. Jiulize Chelsea ikafanya mauzo ya wachezaji, matangazo na asset zingine hela...
  14. D

    Why Prof. Kabudi is shy and quiet these days?

    Heshima yake iliingia dosari aliposema katolewa jalalani kama mzoga pia tabia ya kusifu kuzidi kipimo watu wakamuona ni "opportunist"
  15. D

    Napinga Askofu Gwajima kukamatwa

    Kuachwa Gwajima inategemea na culcalation ya madhara yatokanayo na propaganda zako. Kwa kiongozi ambae ni intolerant kashamshughulikia Gwajima mapema sana maana anachokifanya ni uasi. Kwa hiyo naamini securities wako makini sana wanafanya analysis why Rashid behave in that way
Back
Top Bottom