Wananchi wa Tanganyika hawana shida. Hata wakinywa maji ya matope hawalalamiki.
Wao wako bize kupinga ushoga na kushabikia Yanga.
Wacha majizi yaendelee kutafuna.
Hao ni MAZOMBI yaliyokwisha kuwa PROGRAMMED.
Hayaambiliki, ni kama CORRUPTED FILES.
Mtu kasoma JOGRAFE kwa miaka kumi alishakaririshwa DUNIA NI YAI, huwezi kumwambia vinginevyo.
Tena ukute ndio INJINIA WA MITARO [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yooh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.