Ndugu zangu TANESCO,
Leo siku ya 3 Ubungo Kibangu huku hatuna umeme,toka ijumaa jioni, tatizo ni transfoma, tumepiga sana namba zenu za emergency mkatuambia mnakuja,kuona sijui tunawakera mmeamua na simu kuzima kabisa hazipokelewi, jamani wafanyabiashara, majumbani, tunaingia hasara jamani, ama...