Hydroponic technology ni sayansi ya kuotesha mmea kwa kutumia maji tu yaliyochanganywa na virutuvisho kadhaa. Ngano,shairi, ulezi,mtama nk huweza kuoteshwa ili kupata FODDER kama chakula cha mifugo -kuku, nguruwe, bata, kanga,sungura,ng'ombe nk.
Fodder hizi zina virutubisho vingi vinavyofanya...