Recent content by DODOO

  1. D

    JamiiForums Tanzania Ninavyowakumbuka marehemu Dr. Judith Kahama na Dr Meshark Massi

    Dr Massi na Dr. Judy RIP tuliwahi kuwa pamoja katika utumishi wa umma wa Watz wenzetu Mungu awapokee kwa kujitoa kutumikia wenzenu hata kupunguza siku zenu za kuishi lakini hiyo ndio spirit inayotakiwa na daima mtakumbukwa.
  2. D

    JamiiForums Tanzania Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar afariki

    RIP Dr Judy. Mwenyezi Mungu atakulipa na wote waliojikuta katika hali kama hii. Watanzania tumekuwaje? Hatuoni kuwa huyu alijondoa katika tabaka lake kutumikia nchi na watu wake (class suicide)? Watu wa aina yake wengi wako huko Marekani, Geneva, Uingereza na kwingine wakilipwa mishahara...
  3. D

    JamiiForums Tanzania heshima za mwisho kwa aliyekuwa RPC Mwanza.

    Safari yetu ni moja nenda salama ndugu yetu Lymo LLB Mungu akusamehe mapungufu uliyokuwa nayo na awarudi wote wanaotumia nafasi zao za uongozi kuwakwaza wengine. Najua haya ni matokeo ya kufanya kazi za madaraka katika system corrupt. Mungu aliahidi anayewakwaza watoto wake atafungwa jiwe na...
  4. D

    JamiiForums Tanzania RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    "kama unafikiri umesimama angalia usije kuanguka"
  5. D

    JamiiForums Tanzania RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    Uko sahihi Job. Si la kushangaza mambo kama haya kutokea mauaji yaliyokithiri bila kuthamini uhai kwa pande zote yaani police na hao raiya walipa visasi na sisi wenyewe wanajamii tunaoshangilia mambo ya hatari kama hili. Hivi si kwamba tunavuna tulichopanda? Haiwezekani kuwa na amani na...
  6. D

    JamiiForums Tanzania RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    "Wauwaji watawajibika kwa Mungu" Ni kweli hatuwezi kuwa jamii ya kulipa ubaya kwa ubaya kama kweli tunamwomba Mungu tudumishe AMANI yetu. kama tunafikiri alifanya mabaya; na sisi tujiangalie kwa yote tunayofanya kwa wale tunaohusiana nao kuanzia familia, kikazi, jamii nk Haya ni baadhi tu ya...
  7. D

    JamiiForums Tanzania RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    Mwacheni Mungu mwenyewe alipize kisasi. Hatuwezi kufurahia mauwaji ya mtu kwa kuwa watu wa aina yake au ndugu zake walituudhi au kutuua. Kuweni na mioyo Mikuu. Kama kifo ni kibaya kwako basi na kiwe kibaya kwa binadamu yoyote hata kama ni adui wako. Tunasahau mno mafundisho ya wenye hekima...
  8. D

    JamiiForums Tanzania RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    Nasikitika kutokana na mauaji ya huyu RPC ambaye namjua tukiwa Chuo Kikuu. Hata Kifo cha Mwandishi Mwangosi, na wengine wote waliouwawa na kuteswa vinanisikitisha sana. Nasikitika jinsi mtu unavyolelewa, unakuwa unasomeshwa na unakuwa na mafanikio kielimu. Hata hivyo kuchagua kazi inakuwa...
  9. D

    JamiiForums Tanzania RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    Hallow Jamii Forum. it is my pleasure to be member of this informative and useful forum. Be blessed my fellow members
  10. D

    JamiiForums Tanzania RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    RIP Ndugu yetu Barlow Lymo Liberati (Lymo LLB) Alikuwa kipanga wa Darasani kwetu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam B.A International Relations 1984 hadi 1987 alikuwa mnadhifu, shupavu, na mwenye akili nyingi. Sina uhakika na unadhifu wa kazi aliyochagua na kuifia katika mazingira ya nchi yetu...
Back
Top Bottom