Ninavyowakumbuka marehemu Dr. Judith Kahama na Dr Meshark Massi

Ninavyowakumbuka marehemu Dr. Judith Kahama na Dr Meshark Massi

Miaka ya 80 nilikua mdogo sana kuweza kuweka kumbukumbu....lakini niliwahi kusoma gazeti la Uhuru enzi hizo kichwa cha habari kilikua `Samwel Sitta Aden Rage wafukuzwa kazi...Rais Julius Nyerere amewafukuza kazi mkurugenzi mtendaji wa CDA Ndugu Samwel Sitta na ofisa Utawala Ismail Aden Rage kwa tuhuma za ubadhirifu wa mali ya umma....

Mkuu kama unalo hilo gazeti naombwa tumwagie au tukumbushane kwa kirefu ilikuaje
 
Miaka ya 80 nilikua mdogo sana kuweza kuweka kumbukumbu....lakini niliwahi kusoma gazeti la Uhuru enzi hizo kichwa cha habari kilikua `Samwel Sitta Aden Rage wafukuzwa kazi...Rais Julius Nyerere amewafukuza kazi mkurugenzi mtendaji wa CDA Ndugu Samwel Sitta na ofisa Utawala Ismail Aden Rage kwa tuhuma za ubadhirifu wa mali ya umma....

Mkuu kama unalo hilo gazeti naombwa tumwagie au tukumbushane kwa kirefu ilikuaje

Dogo ninajua unahitaji kuelewa mambo, hapo kwenye nyekundu nitakuweka sawa, Samwel Sitta hakuwahi kufanya kazi CDA na kufukuzwa kazi,pia Aden Rage hakuwa afisa kulingana na kisomo chake cha cheti cha uhasibu SHYCOM alikuwa kalani tu wakupakua mizigo ya CDA toka DSM kwenda Dodoma ilipo CDA, sasa katika mizigo hiyo ndo walikuwa wanaiba mingine na wenzie maana ilikuwa sindicate fulani, miongoni ya mizigo hiyo zilikuwa ni furniture za ikulu ya Chamwino
Cheo chake Rage kilikuwa ni clearing and forwarding clerk.

Kufukuzwa kwao kazi.

Noma ya wizi huo aliisanua mbunge Severini Supa kufuatia ile kesi kuu ya ubunge kati ya Padri Simon Chiwanga na yeye Padri Severino Supa ambapo ilidhihirika Padri Simon Chiwanga wakati huo alikuwa waziri wa elimu alitoa rushwa ya majembe kijiji cha Nkong`onta ambapo sasa ni sehemu ya chuo kikuu cha UDOM, ikumbukwe enzi hizo wabunge walikuwa wanapewa alama maalum kuwatambulisha ambapo ilikuwa jembe na nyumba sasa Padri Chiwanga alama yake ilikuwa ni jembe
Katika kesi hiyo padri Chiwanga alipigwa chini ubunge na jaji malehemu Rugakingila.Noma ya akina Rage ilisanuka ikamfikia Nyerere kwa sababu Mkurugenzi wa mamlaka ya usitawishaji makao makuu alikuwa Sir. George Kahama , sasa katika hiyo kesi kuu yeye alikuwa upande wa Padri Chiwanga na inasemekana alitumiwa na Chiwanga kupenyeza mlungula kwa jaji Kahwa Rugakingila kwa kuwa walikuwa kabila moja , huo mlungula ulikataliwa na haki ikatendeka, kuona vile ndipo nae Supa kupitia wapambe wake wakaanika wizi uliokuwa unafanywa na Rage na genge lake chini ya utawala wa Sir George Kahama.

Rais Nyerere alimhamisha Sir George Kahama na akawafukuza kazi akina Rage na genge lake walikuwa 9.

Habari hizo wakati huo zilikuwa ni gumzo Tanzania nzima mtu kuvuliwa ubunge ndio ilikuwa tukio la kwanza, na hilo gazeti unalosema ulisoma lilikuwa ni dairy news.

Weka kumbukumbu zako sawa dogo.
 
MODS nashauri hii thread ihamie kwenye jukwaa la historia maana mwelekeo wake unaenda ki-historia zaidi kule watu watafunguka zaidi kwa nafasi

Ushauri tu
 
Ni vizuri tukiweka heshima na ustaarabu mbele kwa wenzetu waliotangulia mbele ya haki. Kila mwanadamu anakosea katika siku za uhai wake lakini si vizuri kuzikumbushia wakati huu mgumu ambapo wapendwa wa marehemu wako katika maombolezo. Mleta mada amekosea mwaka1980 -81 ilikuwa Operation Imarisha ambayo ilitanguliwa na Operation za Ushindi na Tija. Unapoleta mada za facts za uongo inaonekana una agenda iliyojificha. RIP Dr. Judith Kahama
 
Ni vizuri tukiweka heshima na ustaarabu mbele kwa wenzetu waliotangulia mbele ya haki. Kila mwanadamu anakosea katika siku za uhai wake lakini si vizuri kuzikumbushia wakati huu mgumu ambapo wapendwa wa marehemu wako katika maombolezo. Mleta mada amekosea mwaka1980 -81 ilikuwa Operation Imarisha ambayo ilitanguliwa na Operation za Ushindi na Tija. Unapoleta mada za facts za uongo inaonekana una agenda iliyojificha. RIP Dr. Judith Kahama

Mwaka 1980 Julay hadi June 1981 ilikuwa operation Tija na mimi nikiwa member wa operation hiyo na marehemu tulikuwa nae ila yeye alikuwa Eagle Coy,wewe ndiye unapotosha tena nimwongo mkubwa. sasa tusikumbuke ya zamani. mtu ikisha aga dunia wanajamii wanakumbuka mambo yako ya zamani sasa wewe kinakuuma nini?
 
mhhh JF kweli kiboko,

duh mtu ana data na kumbukumbu kuliko hata mhusika. Lol!
 
Aisee una kumbukumbu sana mkubwa maana story za over 20 years unazinyaka kwa sana!! Asante, nime connect the dot vizuri!!!!!! Pole sana Pro. Maro . Mungu akujalie afya iwe njema na hongera kwa kuishi na mkeo kwa miaka yote hiyo!!! Ndoa ni kuvumiliana!!!

Mambo ya jeshini hayoo ni kama unyagoni - like mother like daughter!!!!
 
dr massi was a friendly, jolly na mtu wa watu.Mungu amlaze mahali pema peponi
 
mhhh JF kweli kiboko,

duh mtu ana data na kumbukumbu kuliko hata mhusika. Lol!
 
Kama unamshangaa Padri Supa ebaeban basi utamshangaa zaidi Rais wa Sierra Leone Mh. Valentine Strasser alikuwa rais na ni mwana sheria amesomea majuu lakini mambo yakampindia mwisho wa siku sasa anaishi Grafton Mashariki ya Freetown anaishi na mama yake anakunywa pombe za mapipa nazo anadowea tu harafu ni graduate wa law, saa ingine ni omba omba mitaani kama malehemu Matonya, kwa hiyo tusishangaane.

Hivi watanzania kwanini tuna tabia ya ligi za kijinga? Ukimwambia mtu story ni lazima ajifanye hajashangaa na anajua zaidi kwa hiyo atakuja na story anayofikiria ni kali zaidi ili 'akupandia' juu na aonekane yeye ni mjuaji zaidi!
 
Dogo ninajua unahitaji kuelewa mambo, hapo kwenye nyekundu nitakuweka sawa, Samwel Sitta hakuwahi kufanya kazi CDA na kufukuzwa kazi,pia Aden Rage hakuwa afisa kulingana na kisomo chake cha cheti cha uhasibu SHYCOM alikuwa kalani tu wakupakua mizigo ya CDA toka DSM kwenda Dodoma ilipo CDA, sasa katika mizigo hiyo ndo walikuwa wanaiba mingine na wenzie maana ilikuwa sindicate fulani, miongoni ya mizigo hiyo zilikuwa ni furniture za ikulu ya Chamwino
Cheo chake Rage kilikuwa ni clearing and forwarding clerk.

Kufukuzwa kwao kazi.

Noma ya wizi huo aliisanua mbunge Severini Supa kufuatia ile kesi kuu ya ubunge kati ya Padri Simon Chiwanga na yeye Padri Severino Supa ambapo ilidhihirika Padri Simon Chiwanga wakati huo alikuwa waziri wa elimu alitoa rushwa ya majembe kijiji cha Nkong`onta ambapo sasa ni sehemu ya chuo kikuu cha UDOM, ikumbukwe enzi hizo wabunge walikuwa wanapewa alama maalum kuwatambulisha ambapo ilikuwa jembe na nyumba sasa Padri Chiwanga alama yake ilikuwa ni jembe
Katika kesi hiyo padri Chiwanga alipigwa chini ubunge na jaji malehemu Rugakingila.Noma ya akina Rage ilisanuka ikamfikia Nyerere kwa sababu Mkurugenzi wa mamlaka ya usitawishaji makao makuu alikuwa Sir. George Kahama , sasa katika hiyo kesi kuu yeye alikuwa upande wa Padri Chiwanga na inasemekana alitumiwa na Chiwanga kupenyeza mlungula kwa jaji Kahwa Rugakingila kwa kuwa walikuwa kabila moja , huo mlungula ulikataliwa na haki ikatendeka, kuona vile ndipo nae Supa kupitia wapambe wake wakaanika wizi uliokuwa unafanywa na Rage na genge lake chini ya utawala wa Sir George Kahama.

Rais Nyerere alimhamisha Sir George Kahama na akawafukuza kazi akina Rage na genge lake walikuwa 9.

Habari hizo wakati huo zilikuwa ni gumzo Tanzania nzima mtu kuvuliwa ubunge ndio ilikuwa tukio la kwanza, na hilo gazeti unalosema ulisoma lilikuwa ni dairy news.

Weka kumbukumbu zako sawa dogo.
Safi sana kaka.Nitafurahi ukiipata list ya lile genge la watu 9,lazima watakua wapo mbali kimaisha.Kumbe Rage doko doko alianza zamani sana,sijui hata alipata vipi ubunge wakati ananuka wizi
 
ebaeban,

..kwa mtizamo wangu ungemsitiri huyo mama.

..ameshatangulia kwenye haki.

..unajua hapa wanaweza kupita wadogo zake, shemeji zake, wanawe, etc etc.
 
Last edited by a moderator:
Dr Massi na Dr. Judy RIP tuliwahi kuwa pamoja katika utumishi wa umma wa Watz wenzetu Mungu awapokee kwa kujitoa kutumikia wenzenu hata kupunguza siku zenu za kuishi lakini hiyo ndio spirit inayotakiwa na daima mtakumbukwa.
 
Back
Top Bottom