Recent content by Dodoma moja

  1. D

    Sina furaha na ajira yangu, natamani kuacha. Je, nitaachaje?

    Vip baada ya kusepa watu wa bank hawakukutafuta?
  2. D

    Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

    Katika aina zote unazofuga ni aina ipi inakupa faida nzuri kuliko zote?
  3. D

    Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

    Asante mkuu wa elimu nzuri ya kiuchumi hususani kwa vijana, hata mimi nina mpango huo wa kujenga nyumba ya kulala wageni nimekuja kugundua hiii ni biashara inayolipa kwa haraka kuliko nyumba za kupanga vipi chief kuhusu vitanda umeweka vya ukubwa gani pia ulijenga jiko, chumba cha kufulia pamja...
  4. D

    Jirani yangu kaniharibia makazi yangu

    Ndio wanadamu walivyo Kila kitu yeye analipokea in negative way
  5. D

    Kipi ni kipaumbele kati ya nyumba ya makazi vs biashara?

    Msaada wakuu Kati ya nyumba hizo mbili ipi itangulie kwa mtu anaejitafuta? Mfano mtu ana kiwanja ambacho kinafaa kwa yote mawili either makazi binafsi or biashara (Fremu za maduka, Lodge, appartments) kipi utamshauri aanze nacho ukizingatia hawezi kwenda na vyote viwili at once ni lazima...
  6. D

    Jirani yangu kaniharibia makazi yangu

    Je vip kuhusu watu wanaoingia na kutoka kwa familia siyo sawa na kuna effect zake
  7. D

    Jirani yangu kaniharibia makazi yangu

    Uchawi unatokea wapi tena?
  8. D

    Jirani yangu kaniharibia makazi yangu

    Habari ya majukumu wakuu Bila kuwachosha sana niende moja kwa moja kwenye mada, nilinunua kiwanja kwa ajili ya makazi pemebezoni mwa mji kipindi hicho bado palikuwa hapajachanganya sana kama sasa lakini kadri siku zilivyokuwa zinazidi kwenda paliendelea kubadilika na palichanganya sana kutokana...
  9. D

    INAUZWA Nauza Tank Kiboko 3000L

    Tafuta mlinzi mwingine
  10. D

    Ushauri kuhusu kuhamia kwangu

    Ina maana gani hii picha?
  11. D

    Ushauri kuhusu kuhamia kwangu

    Duh huyo mwamba alifanya maamuzi magumu kweli
  12. D

    Ushauri kuhusu kuhamia kwangu

    Wakuu wasaalam Mwezi huu nimefanikiwa kupaua nyumba yangu, kuweka magrill, kuchimba shimo la choo na nina mpango wa kupiga plasta nadni na nje pamoja na jamvi. kinachoniumiza kichwa mwezi Januari mwishoni kodi yangu inaisha na ninatakiwa kulipa kodi ya miezi sita kila nikiwaza nihamie kwa hatua...
  13. D

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Mimi nimejenga nipo karibu kuhamia ila mbele yangu kuna mtu na sijui atakuja kujenga nin lakini barabara ya kuingia kwangu ipo nilinunua hatua kadhaa ila nimepata wazo la kupageuza kuwa hostel ya wanachuo maana nipo karibu na chuo na soko la vyumba ni kubwa hali kadhalika nina mawazo pia ya...
Back
Top Bottom