Asante mkuu wa elimu nzuri ya kiuchumi hususani kwa vijana, hata mimi nina mpango huo wa kujenga nyumba ya kulala wageni nimekuja kugundua hiii ni biashara inayolipa kwa haraka kuliko nyumba za kupanga
vipi chief kuhusu vitanda umeweka vya ukubwa gani pia ulijenga jiko, chumba cha kufulia pamja...
Msaada wakuu
Kati ya nyumba hizo mbili ipi itangulie kwa mtu anaejitafuta? Mfano mtu ana kiwanja ambacho kinafaa kwa yote mawili either makazi binafsi or biashara (Fremu za maduka, Lodge, appartments) kipi utamshauri aanze nacho ukizingatia hawezi kwenda na vyote viwili at once ni lazima...
Habari ya majukumu wakuu
Bila kuwachosha sana niende moja kwa moja kwenye mada, nilinunua kiwanja kwa ajili ya makazi pemebezoni mwa mji kipindi hicho bado palikuwa hapajachanganya sana kama sasa lakini kadri siku zilivyokuwa zinazidi kwenda paliendelea kubadilika na palichanganya sana kutokana...
Wakuu wasaalam
Mwezi huu nimefanikiwa kupaua nyumba yangu, kuweka magrill, kuchimba shimo la choo na nina mpango wa kupiga plasta nadni na nje pamoja na jamvi. kinachoniumiza kichwa mwezi Januari mwishoni kodi yangu inaisha na ninatakiwa kulipa kodi ya miezi sita kila nikiwaza nihamie kwa hatua...
Mimi nimejenga nipo karibu kuhamia ila mbele yangu kuna mtu na sijui atakuja kujenga nin lakini barabara ya kuingia kwangu ipo nilinunua hatua kadhaa ila nimepata wazo la kupageuza kuwa hostel ya wanachuo maana nipo karibu na chuo na soko la vyumba ni kubwa hali kadhalika nina mawazo pia ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.