itakuwa ndio mipango yake hiyo anaishi na wapangaji kwenye appartment then anajenga nyumba ya ndoto yake taratibu akiwa na wapangaji bila stress mwisho wa siku akihama huku anapangisha na wapo wengi ambao wamewahi kufanya hivyo
Duh pole sana lakini kama umefikia hatua ya kuweza kupaua hiyo gharama ya kujenga chumba na sebule pembeni si ungeipeleka kwenye finishing angalau ungepiga hatua kubwa hata ya kuweza kuhamia kabisa
Wakuu habari, ninaishi kwenye upangaji kwa sasa hivyo naendelea kupambana na adha za baba mwenye nyumba lakini kwa bahati nzuri nimeweza kununua kiwanja na sasa najipanga na ujenzi lakini wakati huo mawazo ni mengi kichwani mwangu nikiwaza kujenga nyumba ya ndoto yangu ambayo itanichukua muda...
Asante mkuu wa elimu nzuri ya kiuchumi hususani kwa vijana, hata mimi nina mpango huo wa kujenga nyumba ya kulala wageni nimekuja kugundua hiii ni biashara inayolipa kwa haraka kuliko nyumba za kupanga
vipi chief kuhusu vitanda umeweka vya ukubwa gani pia ulijenga jiko, chumba cha kufulia pamja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.