Nimeajiriwa ndio na mkopo naweza pata, familia ninayo ila kwa sasa sipo nayo kwa sababu wife ameajiriwa mkoa mwingine kwa hiyo nipo bachelor ila wakipata nafasi mara moja moja huwa wanakuja na pia kipindi cha likizo ndio wanakuja na kukaa kwa muda mrefu kidogo
itakuwa ndio mipango yake hiyo anaishi na wapangaji kwenye appartment then anajenga nyumba ya ndoto yake taratibu akiwa na wapangaji bila stress mwisho wa siku akihama huku anapangisha na wapo wengi ambao wamewahi kufanya hivyo
Duh pole sana lakini kama umefikia hatua ya kuweza kupaua hiyo gharama ya kujenga chumba na sebule pembeni si ungeipeleka kwenye finishing angalau ungepiga hatua kubwa hata ya kuweza kuhamia kabisa
Wakuu habari, ninaishi kwenye upangaji kwa sasa hivyo naendelea kupambana na adha za baba mwenye nyumba lakini kwa bahati nzuri nimeweza kununua kiwanja na sasa najipanga na ujenzi lakini wakati huo mawazo ni mengi kichwani mwangu nikiwaza kujenga nyumba ya ndoto yangu ambayo itanichukua muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.