Recent content by Dodoma moja

  1. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Asante ngoja nipambane
  2. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Exactly
  3. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Inaumiza sana aisee hususani kwa wenye vipato vya kuungaunga
  4. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Thanks
  5. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    itakuwa ndio mipango yake hiyo anaishi na wapangaji kwenye appartment then anajenga nyumba ya ndoto yake taratibu akiwa na wapangaji bila stress mwisho wa siku akihama huku anapangisha na wapo wengi ambao wamewahi kufanya hivyo
  6. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Hayo ni mapatano yetu na mwenye nyumba mwanzo nilikuwa nalipa 2M kwa mwaka baadae akaongeza laki 2 imekuwa 2.2M ambapo nalipa 1.1M kwa miezi 6
  7. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Duh pole sana lakini kama umefikia hatua ya kuweza kupaua hiyo gharama ya kujenga chumba na sebule pembeni si ungeipeleka kwenye finishing angalau ungepiga hatua kubwa hata ya kuweza kuhamia kabisa
  8. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Hapa unamaanisha nin mkuu?
  9. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Ni kweli mkuu, asante sana kwa ushauri
  10. D

    JamiiForums Tanzania Ushauri kujenga nyumba ndogo kabla ya nyumba kubwa

    Wakuu habari, ninaishi kwenye upangaji kwa sasa hivyo naendelea kupambana na adha za baba mwenye nyumba lakini kwa bahati nzuri nimeweza kununua kiwanja na sasa najipanga na ujenzi lakini wakati huo mawazo ni mengi kichwani mwangu nikiwaza kujenga nyumba ya ndoto yangu ambayo itanichukua muda...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Sina furaha na ajira yangu, natamani kuacha. Je, nitaachaje?

    Vip baada ya kusepa watu wa bank hawakukutafuta?
  12. D

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wenu kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai

    Katika aina zote unazofuga ni aina ipi inakupa faida nzuri kuliko zote?
  13. D

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Biashara ya Nyumba za Kupangisha Vs Nyumba za Kulala Wageni

    Asante mkuu wa elimu nzuri ya kiuchumi hususani kwa vijana, hata mimi nina mpango huo wa kujenga nyumba ya kulala wageni nimekuja kugundua hiii ni biashara inayolipa kwa haraka kuliko nyumba za kupanga vipi chief kuhusu vitanda umeweka vya ukubwa gani pia ulijenga jiko, chumba cha kufulia pamja...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Jirani yangu kaniharibia makazi yangu

    Ndio wanadamu walivyo Kila kitu yeye analipokea in negative way
Back
Top Bottom