J & J Power Professionals ni wataalam wa umeme ambao wanatoa huduma kwenye majengo ya Serikali na watu binafsi
Tunahusika na:
-Wiring ( domestic na industrial) installations
- Umeme jua (Solar power)
-Motor rewinding
AC installations
Kutengeneza BOQ
Kutoa USHAURI juu ya matumizi sahihi ya...
Sahihi kabisa.
Mara nyingi mambo haya hufanyika sehemu ambazo wakazi wameishi hapo miaka mingi,na hivo vijana huamini kuwa wao ndio wenyewe,hakuna mwingine.
Nimeishi Mbagala Charambe miaka ya 2000+, kulikuwa na ujinga huo sana.
Makundi kama mbwa mwitu,Jeshi la Anga, Milosis na makundi mengine...
Kwa hiyo hapa walizingua,ama walikuwa sahihi?
Kuna kanuni,taratibu na sheria tunatakiwa kuzifahamu.
Haya mengine yanayotokea ni kwa baadhi ya watenda uhalifu kutojitambua
Proffession: Electrical Engin. Technician
Experience: 15yrs
Education: Diploma in Electrical Eng.with EWURA Licence Class B
Location: Dar es Salaam/ Dodoma
Huenda hukupigwa pia. Wewe ndio uliona ugumu wa kazi,though ulichangia kwa kutoa fedha. Kiujumla hakuna guarantee ya malipo kwa fundi kama sheria.
Ukiona inamfaa,mpe hata zaidi ya hiyo uliyotoa!
Kuanza kuweka gypsum kunaweza kukugharimu baadaye ikiwa fundi wako wa umeme hatakuwa makini katika kufanya kazi yake.
Tahadhari kubwa lazma ichukuliwe wakati anafanya wiring.
Mimi nimefanya kwa Boss mmoja Dodoma,but nashukuru mpk namaliza sikuvunja gypsum yoyote...lakini nilimwambia kazi kama...
Gharama za makadirio ya umeme zinategemea mahitaji ya mteja husika.
Hiki ndicho kigezo kikuu katika kupata gharama.
Mahitaji yanaweza kuwa ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida, biashara n.k
Ongezeko la uhitaji au matumizi ya vifaa kama AC,Jiko la umeme,Water heater,machine za kusaga,kuranda n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.