Recent content by Dodo Ntomombo

  1. D

    Mbagala Mbande

    Huko kuna watu wengi sana. Maeneo kama haya ukipata sehemu nzuri ya kuanzisha biashara ya vyakula/nafaka inafaa sana. Ukiweza anzisha hata genge
  2. D

    J & J Power Professionals ni wataalam wa umeme ambao wanatoa huduma kwenye majengo ya Serikali na watu binafsi

    J & J Power Professionals ni wataalam wa umeme ambao wanatoa huduma kwenye majengo ya Serikali na watu binafsi Tunahusika na: -Wiring ( domestic na industrial) installations - Umeme jua (Solar power) -Motor rewinding AC installations Kutengeneza BOQ Kutoa USHAURI juu ya matumizi sahihi ya...
  3. D

    Uzi wa kupeana machimbo mbalimbali ya vifaa vya ujenzi na bei zake

    Mkuu,utofauti wa hizi bei ni nini,brand au ubora?
  4. D

    Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

    Sahihi kabisa. Mara nyingi mambo haya hufanyika sehemu ambazo wakazi wameishi hapo miaka mingi,na hivo vijana huamini kuwa wao ndio wenyewe,hakuna mwingine. Nimeishi Mbagala Charambe miaka ya 2000+, kulikuwa na ujinga huo sana. Makundi kama mbwa mwitu,Jeshi la Anga, Milosis na makundi mengine...
  5. D

    Raia wa Kawe kupigwa kininja na MPs wa kambi ya Lugalo walaumiwe Polisi kwa kukaidi kumkabidhi muuaji Kato kwa hao MPs

    Kwa hiyo hapa walizingua,ama walikuwa sahihi? Kuna kanuni,taratibu na sheria tunatakiwa kuzifahamu. Haya mengine yanayotokea ni kwa baadhi ya watenda uhalifu kutojitambua
  6. D

    Kusini mwa Dar es Salaam ni uozo

    Bila shaka ww cyo mwenyeji wa jiji hilo. Inawezekana umehamia hv karibuni. Kwa wakazi wa muda mrf hapo Dar wanaijua status ya Mbagala na watu wake
  7. D

    DED Uvinza asimamishwa kazi na Waziri Mkuu kwa kuchelewesha miradi ya Serikali

    Moto umewaka. Bila shaka Ana sababu za msingi kuchelewesha, japo ni muda mrefu.
  8. D

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Proffession: Electrical Engin. Technician Experience: 15yrs Education: Diploma in Electrical Eng.with EWURA Licence Class B Location: Dar es Salaam/ Dodoma
  9. D

    Naomba kujuzwa gharama za kutengeneza sakafu rafu

    Huenda hukupigwa pia. Wewe ndio uliona ugumu wa kazi,though ulichangia kwa kutoa fedha. Kiujumla hakuna guarantee ya malipo kwa fundi kama sheria. Ukiona inamfaa,mpe hata zaidi ya hiyo uliyotoa!
  10. D

    Je naweza weka gypsum board na mikanda then baadae nikatandaza ile final wiring?

    Kuanza kuweka gypsum kunaweza kukugharimu baadaye ikiwa fundi wako wa umeme hatakuwa makini katika kufanya kazi yake. Tahadhari kubwa lazma ichukuliwe wakati anafanya wiring. Mimi nimefanya kwa Boss mmoja Dodoma,but nashukuru mpk namaliza sikuvunja gypsum yoyote...lakini nilimwambia kazi kama...
  11. D

    Gharama ya kuweka mfumo wa umeme

    Gharama za makadirio ya umeme zinategemea mahitaji ya mteja husika. Hiki ndicho kigezo kikuu katika kupata gharama. Mahitaji yanaweza kuwa ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida, biashara n.k Ongezeko la uhitaji au matumizi ya vifaa kama AC,Jiko la umeme,Water heater,machine za kusaga,kuranda n.k...
Back
Top Bottom