Kuna madalali na mawinga kila mahala hadi mteja unaogopa kununua bidhaa au huduma.
Eti mpaka madalali wa daladala wapo mpaka unashangaa kulikoni.
Hadi reflectors wanavaa dah.
Kwa mfano nimewaona Vikindu na reflectors zao zimeandikwa UMADAVI.
Yanga ndo walianza kuzingua mkuu.
Kwa nn mulikataza wachezaji kufanya mazoezi pale kwa Mkapa?
Tunatakiwa kuangalia tulipojikwaa na siyo tulipoangukia.
Au unaamini Yanga walikuwa sahihi kuzuia matumizi ya uwanja kupitia mabaunsa wao siku moja kabla ya mechi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.