Moja kati ya kazi zenye watoa huduma wasiojua kujali wateja ni makondakta wa daladala
1: Kuwa wakali sana kwa wateja au abiria
Hii ni moja kati ya kero kubwa sana kwa abiria hawa jamaa hawajali kama wanaongea na mtu mzima au mtoto kazi yao ni kufoka tu hata ukidai chenji kitu ambacho ni haki...
Kumekuwa na ukosekanaji wa waji katika baadhi ya nyumba eneo la tabata mtaa wa migombani (tembomgwaza) yaan maji yanatoka kwa kuchagua nyumba baadhi, takribani wiki tatu sasa. Wananchi hawaelewi ni Dawasco au kuna uhuni wa ukataji wa mabomba. "Tunaomba serikali itusaidie kufuatilia kwa kuihimiza...
Unatakiwa uelewe kwanza mtu mpaka anaenda kufanyiwa surgery au upasuaji hiyo tayari ni complication....huku tunakitu kinaitwa management of the patient ambazo zipo options tatu kuu
1: non pharmacological management/ treatment
2: pharmacological treatment
3: surgery
Na surgery yenyewe inategemea...
Ndugu zangu nawashauri kuwa makini sana na kupenda kwenda hospitali kwanza kama unashida ya kiafya ambayo unahisi ukianzia duka la dawa hutopata matibabu sahihi. Hiyo picha ni picha ya majibu ya kipimo cha sphymomanometer kinachutumika kupima presha ya damu. Hapo kwenye picha chini ni majibu ya...
4000 kwa siku sio pesa ndogo mkuu labda kwa sababu ni kwa siku ndo inaonekana ni ndogo
Tuchukulie huyu mtu anafanya kazi siku sita jumatatu mpaka jumamosi maana yake anakula 24000tzs kwa wiki
Zidisha 24000 mara 4 ni 96000/= kwa mwezi na kama kazi inafanyika mpaka jumapili maana yake ni 112000/=...
Uvutaji wa sigara hadharani umekuwa kero kubwa sana mitaani na katika maeneo yenye mikusanyiko ya watu kama vile vituo vya daladala na baadhi ya maduka ya rejareja.
Ikumbukwe kuwa sigara ni hatari zaidi kwa asiyetumia (second-hand smoker), yaani yule ambaye ametulia zake mara ghafla moshi wa...
sahihi kabisa ila ule mlundikano wa watumiaji wa vipaza sauti sehemu moja ndo tatizo nmetoa mfano hapo ulipo washa redio kumi tu kila redio ipige station tofauti na uongeze sauti hadi mwisho. Ifikie kipindi tusitetee tuu turekebishe hao unaosema wanasaka tonge ndo wanasababisha wengine wakose...
Naona sijaeleweka kuna kelele ambazo ni za kawaida ila zile sio za kawaida mfano hapo uwanja wa taifa kila mtu akiingia na kiredio chake apige wimbo anaoutaka au aweke tangazo lake pale sidhani kama utakaa hata dakika tano nadhani watu ambao ni inteligent wameshaelewa nazungumzia nn
Hatujasema kudhoofisha wachuuzi ila hali iliyopo pale kwa sasa ni sawa na kuwasha redio kumi kwa wakati mmoja then kila redio ipige station tofauti tofauti kwa sausti kubwa mno....nadhani nmeeleweka mnaoona taarifa hii sio sawa huenda mnamiliki mabanda pale au ndo wafanya biashara wa pale ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.