Recent content by Dochiman

  1. Dochiman

    CHADEMA kuweni makini sana, kilicho nyuma ya pazia hiki hapa!

    Na Magufuli atakuwa wapi? Au ndio Ramli chonganishi Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Dochiman

    Pyramid waahidiwa milioni 500 kwa kila goli watakalofunga dhidi ya Yanga

    Na boss wa yanga nae ahadi bilion kila goli eatapalofunga.. kama basi na iwe mbwai
  3. Dochiman

    Gwajima: Nimefurahi sana mama yangu kufariki, sijalia na sitaki mtu alie

    Hata manabii waliokuwepo duniani kabla ya Yesu wahakufufua kila mtu kama unavyotaka kutuaminisha... angalia akina nabii Elia na Elisha kwa mfano. sio kwamba kwamba kwa kipindi chao kulikuwa hakuna misiba, Anayeyefufua ni Mungu kwa kupitia wanadamu... kama ilivyo kuponya n.k. ikiwa amefufuka au...
  4. Dochiman

    Gwajima: Nimefurahi sana mama yangu kufariki, sijalia na sitaki mtu alie

    kaburini utaukuta mwili wake. ndio maana watu husema " mwili wa marehemu fuln" fulan mwenyewe hayupo ndani ya ule mwili....
  5. Dochiman

    Moses Machali: Askofu Kakobe siyo mchungaji wa kiroho

    Yeye ni nani hata ahukumu kuwa huyu ni mchungaji wa kiroho au siye. Mungu ndiye ajuaye... aache mbwembwe
  6. Dochiman

    Nyumba inauzwa mil. 16 Ina kisima kirefu na fremu za maduka

    Bila picha hainogi chief
  7. Dochiman

    Sina Mke na hawa sio wake zangu, nimezaa nao tu waendelee na Bwana zao

    Mpango wa kumuoa mtoto wa Obama ulishakufa? Au walimwengu walikuonea wivu hadi wakafanya figisufigisu
  8. Dochiman

    Nyumba inauzwa

    Asante chief Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Dochiman

    Nyumba inauzwa

    Ndani imepigwa plaster na imeshapigwa skem kama nje haijamaliziwa floor. Vyumba ni standard kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Dochiman

    Nyumba inauzwa

    Ina vyumba vitatu, dinning, sittingroom na master moja. Sehemu kuwa ya parking. Mahali: Salasala Kilimahewa Bei: 65 Milion Simu. 0784 01 11 01 0652 34 44 18. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Dochiman

    Sipati picha speed hii Ingekuwa hapa bongo

    Wakati wenzetu wameshahama.... hahaha Chezea Africa
  12. Dochiman

    Ripoti ya pili ya mchanga itamuacha uchi Tundu Lissu

    Kiongozi umejaa mihemko hadi unasahau kuwa ripoti haandikiwi Lissu.
  13. Dochiman

    Ukilewa sifa sana mwishowe unaanza kuropoka mambo yasiyo na mantiki kabisa

    Ungepunguza mihemko labda ungeandika point... lakini hapo naona vumbi tu
  14. Dochiman

    Utumbuaji wafanyakazi 10000 kumzamisha Magufuli 2020

    Watanzania sio watu wakuwaamini sana... ni kama vile hamorapa
Back
Top Bottom