Recent content by doch

  1. doch

    Diamond alipaswa kulala ndani na kushtakiwa kwa kufanya fujo uwanja wa ndege

    Hairuhusiwi kuuza ticket ya mteja hata kama amechelewa cos ukataji unafanyika kwenye system na jina limeingizwa ....hata akichelewa ukitaka kuuza system haiwezi badilisha jina LA huyo mtu na labda wamsafirishe huyo MTU kwa jina LA mteja aliyechelewa kitu ambacho ni kosa kisheria ....na pesa...
  2. doch

    Diamond alipaswa kulala ndani na kushtakiwa kwa kufanya fujo uwanja wa ndege

    Ndio ujiulize kwanini walimuacha ?! Ina maana uwanja hauna police na security ....jibu wapo wengi tuu ....lakini kosa lilikuwa LA shilika ndio maana hata police waliona ukakasi uingilia maana hata upende wao kulikuwa na kosa kubwa mno
  3. doch

    Tetesi: Kilichomponza Diamond ni Sakata la ATCL

    Kwani uwanja hauna security ?! Si wangemdhibiti tuu cos kwa viwanja vikubwa vya tz kuna security wa kawaida na wanajeshi ambao hawavai sare pia na police so walishindwa kumdhibiti?! Hapo ndipo utakapojua kwamba shilika lilikuwa lina makosa kwa siku iyo
  4. doch

    Tetesi: Kilichomponza Diamond ni Sakata la ATCL

    Na ww mbona umeongea kama wapanda mabasi tuu .... !! Kujua sheria ya aviation inahitaji elimu ya ziada ...kufika haijalishi ila inatakiwa kufika 40 min before departure kwa ndege za ndani ya nchi na counter inafunguliwa masaa mawili kabla ya departure so ndani ya masaa mawili hayo usije zigusa...
  5. doch

    Diamond alipaswa kulala ndani na kushtakiwa kwa kufanya fujo uwanja wa ndege

    Kuchelewa hawakuambii no seat ....unaambiwa umechelewa na siti yako inabaki pale pale hata kama mteja mwingine atakuja cos ndege sio kama mabasi ni system inafungwa hawawezi ziuza tena zile za wazi ambao wamechelewa lakin wanafanya huu ujanjaujanja tuu....alafu huwajui vzur hili shilika kama...
  6. doch

    Diamond alipaswa kulala ndani na kushtakiwa kwa kufanya fujo uwanja wa ndege

    Inawezekana upo sawa ....kwa nilivyomuelewa mondi ni kuwa alifika akaambiwa desk limefungwa I mean kachelewa flight ....na wakati akiendelea kukaa njee ndio aliona baadhi ya watu wanaingia ikiwemo hamornize sasa akapata shaka mbona mie nimeambia counter imefungwa ... Na kufunga counter sio kama...
  7. doch

    Ufafanuzi wa Diamond kuhusu kilichotokea jana uwanja wa ndege Mwanza

    Sio one hour bali ni 40 min before departure kwa ndege za ndani ya nchi haijalishi ni ndege gani ni sheria hiyo ya aviation...!! Na kwa ndege za kimataifa kwa one hour ni sawa
  8. doch

    MAKASA: Bi Mkubwa (Mama mkwe)

    Daaah nachungulia kila wakati huku lakin hola
  9. doch

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Ebu angalia iyo box ,INA wekundu na blue inaitwa simba chef
  10. doch

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Fanya ndani ya siku saba alafu angalia kama bado unasikia maumivu
  11. doch

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Bicarbonate soda ile ya maandazi ni dawa nzuri ya vidonda vya tumbo Mimi ilinisaidia na Niko vizuri kwa sasa. ....unaeka kijiko kimoja cha chai kwenye maji glass moja unakologa unakunywa asubuh kingine jioni kabla hujala chochote ikipita nusu SAA unakula chakula
  12. doch

    Mahojiano ya polisi na raia

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  13. doch

    Pita hapa kuongeza siku za kuishi

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  14. doch

    Huyu Amber Lulu anaimba poa sana

    Amejitahidi kiukweli
  15. doch

    Video: Wema Sepetu akicheza wimbo wa WOWOWO live ndani ya swimming pool

    Kweli kabisa.... Hata mie ninazo ,si unajua misindano ya zamani ilikuwa mikubwa alafu zote walikuwa wanachoma kwenye tako
Back
Top Bottom