Wakimbizi hao wamerudishwa toka Tanzania walikimbia mwaka 1973 na watoto wao walizaliwa tanzania! Burundi haiwatambui hawana ID za Burundi na TZ haiwatambui! Source Radio Burundi
Wakuu habari
Nisaidieni kwa hili mana mimi na wife naona tunaenda toilet(kubwa) kwa timing sana na hakuna aliewai kumuuliza mwezie! (siwezi kwenda ananiona like sijawai kumuona akienda!) ni kawaida au kuna tatizo apo!
Wakuu habari
Nisaidieni kwa hili mana mimi na wife naona tunaenda toilet(kubwa) kwa timing sana na hakuna aliewai kumuuliza mwezie! (siwezi kwenda ananiona like sijawai kumuona akienda!) ni kawaida au kuna tatizo apo!
Salut
Ivi ni mimi nina bahati mbaya na hawa jamaa mana nimesafiri mara nyingi kwenda nje ya nchi lakini kila nikisafiri wana fungua begi na kuniibia! ni hali halisi hapo au ni mimi tu bahati mbaya zangu! last time wamevunja kufuli na kuchukua Saa!
Unapoandika isue uwe na uhakika nayo! umeona mkataba wao kama wameambiwa wajenge iyo service Road? Hao jamaa ni wataalam na ndo wanaojenga barabara ya kahama hadi Burundi(more than a 1,000Km!) wana vifaa vya kisasa na wanatumia wataalam wa ndani au mpaka mjaziwe wachina ndo mfurahi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.