Bora tu wasimuumize maana yule akipelekwa hospitali hashoneki. Mwili wake umeongua na mkorogo. Aisee amekuwa mzungu pori, mkorogo hatareeeeee
Mwangalie vidole, utafikiri wabeba moto na mikono wakisokota bange. Magoti na vidole vyeusi ti wakati uso utafiki ngedere. Na apigwe tu, au Team Mbuta...