nipeni mawe alafu rudini nyuma
haiwezekani unakomalia kukataza tu haiwezekani unawaza mabaya tuu
muda wote niliokaa dodoma kwa kiwango kikubwa sana maji niliotumia ni yakisima na sijafa
inauma sana tunazikana tukiwa wadogo nikima ajali za pikipiki zimezoeleka lakini haziondoi uhalisia na maumivu ya kumkosa mtu daima
yani chini ya miaka 25 niwengi wanaondoka na ajali za hizi pikipiki.
Uporaji kunakipindi ulipungua ila kwasasa sijui huu wakuuwa umeanzaje tena, kuna wengine...
pole sana mkuu
Japo wanasema ajali hubeba hadi mwenye tahadhari lakini Dar hadi rombo kwa bike ni hatari. Tukiwa vijiweni tukumbushane kuchukua tahadhari
kumekuwa na kasumba ya wananchi kukimbilia kwa hawa viongozi wa kisiasa wanapokuwa na misigano yao, hasa zaidi ule upande unao hisi umeonewa. Shida inakuja kiongozi anashindwa kukumbuka mipaka yake kimamlaka analivalia njuga kimawenge kutafuta point tatu kwamba anachapa kazi. Baadae inakuja...
watu wanaamini viongozi watatatua matatizo yao ila bado kiongozi ataagiza swala lifanyiwe kazi watu wakikaa chini mwenye haki anapata haki.
shida sio kwenda kupanga foleni na madai yako shida ni kwamba unachokidai ni halali yako kwelii. Sio mtu kasikia kiongozi anakuja mahali kusikiliza kero...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.