Recent content by DMmasi

  1. DMmasi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Sioni sababu watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara

    lile kombe la kufunika saivi ndolinatakiwa lipite mwanaharamu afunikwe
  2. DMmasi

    JamiiForums Tanzania IGP Mahita: Said Mwema alipewa u-IGP kwa figisu

    wanatubu
  3. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Diplomasia, Mikataba na Uhalisia wa Siasa za Tanzania

    hata uliyoyasema kwenye Para ya tano kuhusu vijana kuelekeza nguvu kwenye mambo mengine na kwenyewe sio parahisi sababu ya mfumo uliochacha
  4. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Kuongea kwa kuchanganya lugha kiswahili na Kiingereza, ni usomi au ujanja?

    hii "Actually" bukoba wameilipia kabisa wanaimiliki
  5. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi DUWASA(Dodoma): Kama umechimba kisima tumia na familia yako usiwape wengine, haturuhusu wenye visima kusambaza maji kwa wananchi

    nipeni mawe alafu rudini nyuma haiwezekani unakomalia kukataza tu haiwezekani unawaza mabaya tuu muda wote niliokaa dodoma kwa kiwango kikubwa sana maji niliotumia ni yakisima na sijafa
  6. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Vizazi Vinne Kutokea Sasa Waafrika Wote watakuwa na Majina ya Kizungu, Very Sad

    Majina yenye asili ya kwetu ni yapi au ni haya ya Adabu, Tabu, Vumilia, Sikujua, Majaliwa, Mapinduzi
  7. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa kulea watu na baadae kuwapa uongozi kwa vigezo vya "tunamjua na kumuamini" ndiyo shida kubwa inayotukabili kama Taifa

    wanalea watu wakulinda walivyokwisha kukwapua na kukwapua vingine
  8. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kuna timu ilichimba nyasi uwanja wa Mkapa, ikaweka Dawa na kusababisha fangasi kisa ushirikina

    wafanya hiphop hatununui maneno yakutufuraisha tuu inatakiwa timu itajwe na iwajibishwe
  9. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    inauma sana tunazikana tukiwa wadogo nikima ajali za pikipiki zimezoeleka lakini haziondoi uhalisia na maumivu ya kumkosa mtu daima yani chini ya miaka 25 niwengi wanaondoka na ajali za hizi pikipiki. Uporaji kunakipindi ulipungua ila kwasasa sijui huu wakuuwa umeanzaje tena, kuna wengine...
  10. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Wako wapi hawa!

    kweli kabisa
  11. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    pole sana mkuu Japo wanasema ajali hubeba hadi mwenye tahadhari lakini Dar hadi rombo kwa bike ni hatari. Tukiwa vijiweni tukumbushane kuchukua tahadhari
  12. DMmasi

    JamiiForums Tanzania KERO KERO YA Uhamisho kwa Watumishi wa Umma Mkoani Mwanza

    Hili lipo sehemu nyingi endelea kufatilia na dua nyingi sana
  13. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo mpaka sasa, ingekuwa ni mimi ningecheza karata moja tu na ndo iliyobaki

    achana na parapanda kulia kuna muda inalizwa
  14. DMmasi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna aliyewahi kukutana na kitu kama hiki kwenye Maumbile ya namna hii kwa mwanamke?

    "Nisaa saba juu ya alama saa nikitazama, nimeshaachana na Jack sasa na mfata salama........."
  15. DMmasi

    JamiiForums Tanzania Professor Anna Tibaijuka hana Moral Authority kuisema Serikali

    Paul angemwangalia Saul asingeandika barua hata moja
Back
Top Bottom