Recent content by DMmasi

  1. DMmasi

    Kuongea kwa kuchanganya lugha kiswahili na Kiingereza, ni usomi au ujanja?

    hii "Actually" bukoba wameilipia kabisa wanaimiliki
  2. DMmasi

    Mkurugenzi DUWASA(Dodoma): Kama umechimba kisima tumia na familia yako usiwape wengine, haturuhusu wenye visima kusambaza maji kwa wananchi

    nipeni mawe alafu rudini nyuma haiwezekani unakomalia kukataza tu haiwezekani unawaza mabaya tuu muda wote niliokaa dodoma kwa kiwango kikubwa sana maji niliotumia ni yakisima na sijafa
  3. DMmasi

    Vizazi Vinne Kutokea Sasa Waafrika Wote watakuwa na Majina ya Kizungu, Very Sad

    Majina yenye asili ya kwetu ni yapi au ni haya ya Adabu, Tabu, Vumilia, Sikujua, Majaliwa, Mapinduzi
  4. DMmasi

    Makonda: Kuna timu ilichimba nyasi uwanja wa Mkapa, ikaweka Dawa na kusababisha fangasi kisa ushirikina

    wafanya hiphop hatununui maneno yakutufuraisha tuu inatakiwa timu itajwe na iwajibishwe
  5. DMmasi

    Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    inauma sana tunazikana tukiwa wadogo nikima ajali za pikipiki zimezoeleka lakini haziondoi uhalisia na maumivu ya kumkosa mtu daima yani chini ya miaka 25 niwengi wanaondoka na ajali za hizi pikipiki. Uporaji kunakipindi ulipungua ila kwasasa sijui huu wakuuwa umeanzaje tena, kuna wengine...
  6. DMmasi

    Wako wapi hawa!

    kweli kabisa
  7. DMmasi

    Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    pole sana mkuu Japo wanasema ajali hubeba hadi mwenye tahadhari lakini Dar hadi rombo kwa bike ni hatari. Tukiwa vijiweni tukumbushane kuchukua tahadhari
  8. DMmasi

    KERO KERO YA Uhamisho kwa Watumishi wa Umma Mkoani Mwanza

    hili lipo sehemu nyingi endelea kufatilia na dua nyingi sana
  9. DMmasi

    Kwa hali ilivyo mpaka sasa, ingekuwa ni mimi ningecheza karata moja tu na ndo iliyobaki

    achana na parapanda kulia kuna muda inalizwa
  10. DMmasi

    Kuna aliyewahi kukutana na kitu kama hiki kwenye Maumbile ya namna hii kwa mwanamke?

    "Nisaa saba juu ya alama saa nikitazama, nimeshaachana na Jack sasa na mfata salama........."
  11. DMmasi

    Professor Anna Tibaijuka hana Moral Authority kuisema Serikali

    Paul angemwangalia Saul asingeandika barua hata moja
  12. DMmasi

    LHRC: Wakuu wa Wilaya/Mikoa waache matumizi mabaya ya mamlaka kwenye masuala yahusuyo tuhuma za kijinai

    kumekuwa na kasumba ya wananchi kukimbilia kwa hawa viongozi wa kisiasa wanapokuwa na misigano yao, hasa zaidi ule upande unao hisi umeonewa. Shida inakuja kiongozi anashindwa kukumbuka mipaka yake kimamlaka analivalia njuga kimawenge kutafuta point tatu kwamba anachapa kazi. Baadae inakuja...
  13. DMmasi

    Wema ni hakiba

    labda ni kweli lakini mbona picha ya mdada akiwa kambeba mzee kama imepikwa
  14. DMmasi

    Ziara za Waziri Mkuu: Uozo wa mifumo, rushwa ufisadi na matumizi mabaya ya kodi zetu

    watu wanaamini viongozi watatatua matatizo yao ila bado kiongozi ataagiza swala lifanyiwe kazi watu wakikaa chini mwenye haki anapata haki. shida sio kwenda kupanga foleni na madai yako shida ni kwamba unachokidai ni halali yako kwelii. Sio mtu kasikia kiongozi anakuja mahali kusikiliza kero...
Back
Top Bottom